Catherine Ruge apigwa chini BAWACHA

Catherine Ruge apigwa chini BAWACHA

Inaaminika Mbowe ataiba kura na Lisu atakuwa ameibiwa kura. Tuendelee kusubiri maana usiku haukawii kucha
 
Catherine Ruge ambaye alikuwa anawania ukatibu mkuu wa BAWACHA Taifa amepigwa chini na Pamela Maassay. Ruge alikuwa anamuunga mkono Mwamba.
Uchaguzi umekamilika kwa nafasi zote za BAWACHA ambapo

Team TALL Wajumbe 17
Team FAM wajumbe 16
Jumla 33

Huku Bavicha Team FAM Ikiibuka hohe hahe kwa kuambulia wajumbe wawili tu kati ya 33

Mpaka sasa joto la uchaguzi limepanda kuliko kawaida na msishangae mkamuona Mwamba ndani ya UHURU FM akiomba kura. Amepanga kusafiri mwendo wa ngiri kwenda kwenye vyombo vya habari kuomba kura baada ya kubaini hali ni tofauti kabisa.

Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100 Aambapo:

Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18

2. BAWACHA 33
  • TAL 17
  • FAM 16

3. BAVICHA 33
  • TAL 31
  • FAM 2

Jumla TAL 63 na FAM 36.
Mtu makini na mwanamageuzi wa kweli hawezi kuwaunga mkono hao madalali waramba asali
 
Catherine Ruge ambaye alikuwa anawania ukatibu mkuu wa BAWACHA Taifa amepigwa chini na Pamela Maassay. Ruge alikuwa anamuunga mkono Mwamba.
Uchaguzi umekamilika kwa nafasi zote za BAWACHA ambapo

Team TALL Wajumbe 17
Team FAM wajumbe 16
Jumla 33

Huku Bavicha Team FAM Ikiibuka hohe hahe kwa kuambulia wajumbe wawili tu kati ya 33

Mpaka sasa joto la uchaguzi limepanda kuliko kawaida na msishangae mkamuona Mwamba ndani ya UHURU FM akiomba kura. Amepanga kusafiri mwendo wa ngiri kwenda kwenye vyombo vya habari kuomba kura baada ya kubaini hali ni tofauti kabisa.

Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100 Aambapo:

Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18

2. BAWACHA 33
  • TAL 17
  • FAM 16

3. BAVICHA 33
  • TAL 31
  • FAM 2

Jumla TAL 63 na FAM 36.

Haiingii akilini kuwa Katherine Ruge ni team FAM.
 
Mbowe hana maono mapya juu ya chama. Lisu asiposhinda bas i CHADEMA itapoteza nuru nakuhakikishia hilo

Watu wako teyari kufa kwa ajili ya chama, wanakipenda na wana uchungu. Tunapoteza hilo pia
Lisu ni mbeligiji hatuwezi kumpa chama
 
..Catherine Ruge alijitahidi na ana msimamo.

..Mwenyekiti ajaye asimuache akapotea kisiasa.
Huyu alikataa kuwa COVID-19. Aliongoza Bawacha kwa mambo mengi ya kudai haki
BAWACHA imefika hapo na kuwa nguzo ya CDM akiwa na mchango sana.
Timu itakayomtumia itapata faida sana.
 
Mbowe hana maono mapya juu ya chama. Lisu asiposhinda bas i CHADEMA itapoteza nuru nakuhakikishia hilo

Watu wako teyari kufa kwa ajili ya chama, wanakipenda na wana uchungu. Tunapoteza hilo pia
Wakajenge chao kama Zitto, watuletee chama cha kanda ya ziwa.
 
..Catherine Ruge alijitahidi na ana msimamo.

..Mwenyekiti ajaye asimuache akapotea kisiasa.
Huyu mama wanasema ni timu Mbowe lakini hata kama ni kweli basi angalau hana kauli chafu. Halafu ni mpiganaji mzuri sana wa upinzani
Mbowe hana maono mapya juu ya chama. Lisu asiposhinda bas i CHADEMA itapoteza nuru nakuhakikishia hilo

Watu wako teyari kufa kwa ajili ya chama, wanakipenda na wana uchungu. Tunapoteza hilo pia
Wengi ya wanaomshabikia Mbowe ni CCM. Wanajua Mbowe akishinda basi hakutakuwa na upinzani wa kweli. Kwa kifupi wa kuiua au kuiponya CHADEMA ni Mbowe. Akikubali kufuata mipango ya Samia kulazimisha ushindi basi chama kinakufa rasmi.
 
Kuna jambo naliona
Mbowe anaweza kutangazwa kushinda uchaguzi huu kwa kuiba kura. Kisha atatatangaza kumwachia madaraka Lissu iliaonekanee amefanya hivyo kwa mapenzi ya CHADEMA.
Anamuachia kwa utaratibu upi ??
 
Huyu mama wanasema ni timu Mbowe lakini hata kama ni kweli basi angalau hana kauli chafu. Halafu ni mpiganaji mzuri sana wa upinzani

Wengi ya wanaomshabikia Mbowe ni CCM. Wanajua Mbowe akishinda basi hakutakuwa na upinzani wa kweli. Kwa kifupi wa kuiua au kuiponya CHADEMA ni Mbowe. Akikubali kufuata mipango ya Samia kulazimisha ushindi basi chama kinakufa rasmi.

..nadhani mbowe kaahidiwa viti vichache vya ubunge, na yeye ameridhika.

..tatizo ni kwamba Mama Abduli haaminiki.

..watu wake wanamdharau, wamepuuza 4R, inawezekana kabisa wakapuuza na ahadi yake kwa Freeman Mbowe.
 
..nadhani mbowe kaahidiwa viti vichache vya ubunge, na yeye ameridhika.

..tatizo ni kwamba Mama Abduli haaminiki.

..watu wake wanamdharau, wamepuuza 4R, inawezekana kabisa wakapuuza na ahadi yake kwa Freeman Mbowe.
Ndivyo ilivyo. Kaahidiwa viti na some sort of power sharing. Hata kama atapewa kama alivyoahidiwa lakini hii ni hongo mbaya sana sana kwenye demokrasia. Kama Samia anataka kuwashirikisha wapinzani au kuwa na upinzani kwa nini asiachie wananchi wakaamua wenyewe kwa kuchagua viongozi wanaowataka? Hivi wakipewa viti watakuwa ni wapinzani au watakuwa ni vibaraka? Wanataka tuwe ka Zanzibar ambako upinzani umekufa na yamebakia maigizo ya kuwadanganya wananchi huku viongozi wakifaidi ving'ora na fedha za umma?
 
Catherine Ruge ambaye alikuwa anawania ukatibu mkuu wa BAWACHA Taifa amepigwa chini na Pamela Maassay. Ruge alikuwa anamuunga mkono Mwamba.
Uchaguzi umekamilika kwa nafasi zote za BAWACHA ambapo

Team TALL Wajumbe 17
Team FAM wajumbe 16
Jumla 33

Huku Bavicha Team FAM Ikiibuka hohe hahe kwa kuambulia wajumbe wawili tu kati ya 33

Mpaka sasa joto la uchaguzi limepanda kuliko kawaida na msishangae mkamuona Mwamba ndani ya UHURU FM akiomba kura. Amepanga kusafiri mwendo wa ngiri kwenda kwenye vyombo vya habari kuomba kura baada ya kubaini hali ni tofauti kabisa.

Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100 Aambapo:

Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18

2. BAWACHA 33
  • TAL 17
  • FAM 16

3. BAVICHA 33
  • TAL 31
  • FAM 2

Jumla TAL 63 na FAM 36.
Huyajui mambo ya chaguzi wewe.
Tuulize sie tuliozoea kugombea.
Upepo wa uchaguzi huwa unayumba yumba hadi siku ya tukio.
So usidanganywe kwa hizo data.
Wapiga kura ni vigeugeu sana.
 
Back
Top Bottom