Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Mumemuandama tu Kigwangalla, Serikali yote ya JPM na CCM ni majizi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Recycle bin, itahusika kutoa mjeresho wa mazungumzo ya maagizo hayo ila mahakamaniKigangwala alipaswa awe muigizaji Tu
Uwaziri ni kumpa mzigo mzito...
Halafu kwanini asiseme Marehem ndo alimpigia simu kuagiza awalipe wasanii??
Hata kama sio kweli Nani atabisha??
Kipindi hiki kila mtu anamsingizia marehem ya kweli na yasiyo ya Kweli
Kuwa kiongozi TZ yataka moyo. Ukiondoka tu watu wanaanza kufafanua hadi rangi ya chupi yakoKigwa amechanganyikiwa sasa hajui afanye nini
Kifaranga Cha kukuwataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
View attachment 1749048
Dr. Kigwangala yupo humu aache kutisha kina dada, kwa sababu ana ID humu aje ajibizane humu. Kama hawezi basi arudishe hela walizoiba
Ni ujinga kumtupia marehemu mizigo ambayo si yake.Ndo maana alikuwa anatuambia kila kukicha Tz tuna viongozi mizigo Kama akina Asaad.Kwa nn wakati Magu Yuko hai hakutoa hizo challenges Kama anajiamini.Ni Bora ikakaa kimywa ukaonekana una busara kuliko kupayuka.Na huo mchezo wa kutumia taasisi za dini kusema watu Mh Rais awe making.Mwacheni Magu apumzike kwani hakuna mengine ya kujadili.Hakuna msafi nchi hii hata baadhi ya wasanii nao ni corruptKigangwala alipaswa awe muigizaji Tu
Uwaziri ni kumpa mzigo mzito...
Halafu kwanini asiseme Marehem ndo alimpigia simu kuagiza awalipe wasanii??
Hata kama sio kweli Nani atabisha??
Kipindi hiki kila mtu anamsingizia marehem ya kweli na yasiyo ya Kweli
Kibwagalawataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
khaaa nimeshtukaKibwagala
nayale mamindevu yake anafaa kuwa bongo move na akina mhogo mchunguKigwa is too cheap sometime, hii mikwara ya kitoto unamtisha vipi mtu mzima anaejitambua? ila jamaa wakati mwingine ni kama msanii fulani sio wakumchukulia serious sana.
Kivinimbiwataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
kumbe alianzaga zamani eeeee ha ha ha