Catherine Ruge: Dr. Kigwangala usinipe vitisho, mjibu CAG

Catherine Ruge: Dr. Kigwangala usinipe vitisho, mjibu CAG

Kigangwala alipaswa awe muigizaji Tu
Uwaziri ni kumpa mzigo mzito...

Halafu kwanini asiseme Marehem ndo alimpigia simu kuagiza awalipe wasanii??
Hata kama sio kweli Nani atabisha??
Kipindi hiki kila mtu anamsingizia marehem ya kweli na yasiyo ya Kweli
Recycle bin, itahusika kutoa mjeresho wa mazungumzo ya maagizo hayo ila mahakamani
 
Kigangwala alipaswa awe muigizaji Tu
Uwaziri ni kumpa mzigo mzito...

Halafu kwanini asiseme Marehem ndo alimpigia simu kuagiza awalipe wasanii??
Hata kama sio kweli Nani atabisha??
Kipindi hiki kila mtu anamsingizia marehem ya kweli na yasiyo ya Kweli
Ni ujinga kumtupia marehemu mizigo ambayo si yake.Ndo maana alikuwa anatuambia kila kukicha Tz tuna viongozi mizigo Kama akina Asaad.Kwa nn wakati Magu Yuko hai hakutoa hizo challenges Kama anajiamini.Ni Bora ikakaa kimywa ukaonekana una busara kuliko kupayuka.Na huo mchezo wa kutumia taasisi za dini kusema watu Mh Rais awe making.Mwacheni Magu apumzike kwani hakuna mengine ya kujadili.Hakuna msafi nchi hii hata baadhi ya wasanii nao ni corrupt
 
Kigwangala akamatwe ahojiwe, kitendo alichikifanya Waziri Ndumbaru cha kumsimamisha kazi Bi Devotha Mdachi ni uonevu na hakikubaliki hata kidogo.Fisadi Kigwangala lipo tu linadunda tena limo bungeni si alikamate? Huyu Waziri hafai, Bi Devotha Mdachi hawezi kuwa mbuzi wa kafara huku mafisadi yakidunda tu mitaani, tutapaz sauti popote haki itendeke.
Mawaziri acheni kunyanyasa watu wasiokuwa na hatia.
 
Kigwa jibu hoja za CAG - Kama ulipiga sema tu mbona wenzako wanasema !!
 
Back
Top Bottom