Catherine Ruge: Dr. Kigwangala usinipe vitisho, mjibu CAG

Catherine Ruge: Dr. Kigwangala usinipe vitisho, mjibu CAG

Kigwa is too cheap sometime, hii mikwara ya kitoto unamtisha vipi mtu mzima anaejitambua? ila jamaa wakati mwingine ni kama msanii fulani sio wakumchukulia serious sana.

Huwa nawaza sijui ilikuwaje mpaka akapewaga wizara kipindi kile cha Jiwe. Jamaa ni wa kipekee kwa kweli. Kama hamna kitu tu pale. Very immature sijui na ushamba!
 
Hivi watawala wetu huwa wanawaokota wapi hawa wahuni?
Ethics hawana, huyu jamaa ni ushamba plus ujinga kila kukicha!

Yani kila mwenye akili timamu anauliza swali kama hili. Wa hivi wanafikaje kuwa mawaziri? Nchi hii kweli kiboko [emoji1787]
 
Ni ujinga kumtupia marehemu mizigo ambayo si yake.Ndo maana alikuwa anatuambia kila kukicha Tz tuna viongozi mizigo Kama akina Asaad.Kwa nn wakati Magu Yuko hai hakutoa hizo challenges Kama anajiamini.Ni Bora ikakaa kimywa ukaonekana una busara kuliko kupayuka.Na huo mchezo wa kutumia taasisi za dini kusema watu Mh Rais awe making.Mwacheni Magu apumzike kwani hakuna mengine ya kujadili.Hakuna msafi nchi hii hata baadhi ya wasanii nao ni corrupt
Acha ujuha wewe Mataga,wakati watu wanabambikiwa kesi,kutekwa kupotezwa na kupigwa risasi kwa kumkosoa mungu wenu ulikuwa hujazaliwa?
 
Kigangwala alipaswa awe muigizaji Tu
Uwaziri ni kumpa mzigo mzito...

Halafu kwanini asiseme Marehem ndo alimpigia simu kuagiza awalipe wasanii??
Hata kama sio kweli Nani atabisha??
Kipindi hiki kila mtu anamsingizia marehem ya kweli na yasiyo ya Kweli
🤣🤣🤣kila baya ni John tu daaah
 
Kama mambo ndio yalikuwa hiv huko nyuma bac Takukuru na vyombo vya ulinzi mnatakiwa muitendee haki mama Tz muwachunguze walio wahi kushika nafasi
 
Kigwangala mzee wa kwenda study tour Israel na warembo wa Travel agencies kujifunza Utalii. Anajificha kwenye kichaka cha uislamu wakati ni mpigaji. Huyu ilibidi awe ndani kipisha uchunguzi dhidi ya tuhuma za ubadhirifu.
 
Back
Top Bottom