Chakulinga
Senior Member
- Oct 1, 2014
- 142
- 181
Pigletwataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigletwataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
Mtoto wa nguruwe anaitwa kivinimbi.wataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
Piglet ni kiingereza kwa kiswahili wanamwita kivinimbiPiglet
Kigwa is too cheap sometime, hii mikwara ya kitoto unamtisha vipi mtu mzima anaejitambua? ila jamaa wakati mwingine ni kama msanii fulani sio wakumchukulia serious sana.
Kigwa amechanganyikiwa sasa hajui afanye nini
Hivi watawala wetu huwa wanawaokota wapi hawa wahuni?
Ethics hawana, huyu jamaa ni ushamba plus ujinga kila kukicha!
Acha ujuha wewe Mataga,wakati watu wanabambikiwa kesi,kutekwa kupotezwa na kupigwa risasi kwa kumkosoa mungu wenu ulikuwa hujazaliwa?Ni ujinga kumtupia marehemu mizigo ambayo si yake.Ndo maana alikuwa anatuambia kila kukicha Tz tuna viongozi mizigo Kama akina Asaad.Kwa nn wakati Magu Yuko hai hakutoa hizo challenges Kama anajiamini.Ni Bora ikakaa kimywa ukaonekana una busara kuliko kupayuka.Na huo mchezo wa kutumia taasisi za dini kusema watu Mh Rais awe making.Mwacheni Magu apumzike kwani hakuna mengine ya kujadili.Hakuna msafi nchi hii hata baadhi ya wasanii nao ni corrupt
KimeumanaView attachment 1749048
Dr. Kigwangala yupo humu aache kutisha kina dada, kwa sababu ana ID humu aje ajibizane humu. Kama hawezi basi arudishe hela walizoiba
Pigletwataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
Mambo ya kuzidisha makafara hayo..sasa hivi yana collide yenyewe kwa yenyewe..matokeo yake ndio hayo sasaKingwa ana mabeef na kila mtu hivi kwanini[emoji23][emoji23]
Ova
Atajiua jamaniHaamini kama kaukosa uWaziri kwa Bi Samia. Hajapona hilo mara report ya CAG hiyo!! Alipenda sana uWaziri.
Atajipiga risasi huyu jamaaMambo ya kuzidisha makafara hayo..sasa hivi yana collide yenyewe kwa yenyewe..matokeo yake ndio hayo sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣kila baya ni John tu daaahKigangwala alipaswa awe muigizaji Tu
Uwaziri ni kumpa mzigo mzito...
Halafu kwanini asiseme Marehem ndo alimpigia simu kuagiza awalipe wasanii??
Hata kama sio kweli Nani atabisha??
Kipindi hiki kila mtu anamsingizia marehem ya kweli na yasiyo ya Kweli
PigKid....wataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
Little Pigwataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?