Catherine Ruge: Kakoko alinitishia kuniua baada ya kuibua madudu mengi TPA


Ujinga kama virusi. Unaelewa kweli maana ya ukoloni. Nyie kama hamnaga cha kuandika. Mjiue tu.
 
Mimi binafsi namfahamu Eng. Kakoko hayuko hivyo jinsi mnavyomsema. Amekuwa Meneja wa TANROADS Arusha na alikuwa mfano wa kuigwa.
Madaraka makubwa hulevya
 
Sasa km ndugai anaumwa ile barua ya kwanza yenye mwandiko mkubwa barua yote nani aliandika na akaadress kwa KM chama cha magamba bdae ikapigwa U turn moja matata ikaja barua yenye small letters zote hizo barua nan anaziandika😀😀😀😀😀😀
 
Kama alitishiwa kuuliwa,alitoa taarifa polisi?je ana ushahidi zaidi ya maneno yake?
 
Story hapo ni ya Ndugai huyo Kakoko hana story hapo
 
Reactions: Qwy
Acha uwongo unaweza bainisha hapa ukatili wa kakoko ulikuwa wapi? Na tangu wamchunguze je alishawahi kufikishwa mahakamani? Vijana fanyeni kazi acheni majungu kwa wakubwa zenu
Amewachokozeni Warundi, haya sasa mjomba wenu mliyefikia kwake kaendazake.
 
Kwani kinga waliyojiwekea ilikuwa ya kutoshitakiwa tu, kwenye ugonjwa haihusu!!?? Huyo katoroka, bunge halijui alipo.
 
Ninasikia kuna taarifa mpya juu ya afya ya Job.
Hakuna utajiri mkubwa hapa duniani Kama afya mzuri ya MWILI na akili (no stress)
Hata Kama wallet iko quorate Kama afya inamgogoro haisaidii.. hutakwenda kwa mchepuko, bia haishuki, nyama choma haitafuniki.
 
Hakuna utajiri mkubwa hapa duniani Kama afya mzuri ya MWILI na akili (no stress)
Hata Kama wallet iko quorate Kama afya inamgogoro haisaidii.. hutakwenda kwa mchepuko, bia haishuki, nyama choma haitafuniki.
Ndiyo maana nikipata hela huwa ninavunja mifupa kwanza, kuna siku unaweza kuwa na pesa lakini nguvu ya kuvunja mifupa huna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…