Acheni kunisingizia nyie. Kila mtu Tanzania ni mwizi.Kakoko kaiba sana.
Nenda Kigoma kuna taarifa zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kunisingizia nyie. Kila mtu Tanzania ni mwizi.Kakoko kaiba sana.
Nenda Kigoma kuna taarifa zake.
Wacha bana. Publishable or classified for now?!Ninasikia kuna taarifa mpya juu ya afya ya Job.
Kile kiti kilikuwa oxygen yake?Hata mimi nimeiona tufunge midomo yetu tu.
Acha uwongo unaweza bainisha hapa ukatili wa kakoko ulikuwa wapi? Na tangu wamchunguze je alishawahi kufikishwa mahakamani? Vijana fanyeni kazi acheni majungu kwa wakubwa zenu
Wanasumbuliwa na nini hao akina Ndugai?Aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na kushtakiwa mahakamani.
Hali hiyo ilikuja baada ya yeye kuibua Madudu mengi ya ufujaji wa pesa katika Mamlaka hiyo na kubainisha kuwa kulikuwa na baadhi ya watumishi wazalendo wa kutoka mamlaka hiyo walikuwa wakimpa nyaraka za ndani za matumizi mabaya ya pesa ambazo Bwana Kakoko alikuwa akizificha.
Akiongea kwa njia ya mtandao kupitia mjadala unaoendeshwa kupitia mtandao wa Clubhouse, Pia ndugu Catherine Ruge alisema amedokeza anashangaa watu wakihoji alipo aliyekuwa Spika wa bunge ndugu Job Yustino Ndugai wakati yeye anafahamu kuwa yupo Katika matibabu hospitali ya Apollo nchini India na Kuna ulinzi mkali umeimarishwa katika mahali alipo mgonjwa.
Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.
Kwani barua ya kujihudhuru si aliandika mwenyewe?Ndugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.
Wapishi wana marineti nyama..Mbona unazungumzia Ndugai kama sub stori wakati inaonekana ni habari iliyokamilika?
Nini kinaendelea kwa Ndugai?
Umemuamini huyo mkulima wa bamia!?Deusdedith Kakoko pesa aliyoipiga bandarini hatari ssana.
Kwa mwendazake zilianza kama tetesi hivi hiviNinasikia kuna taarifa mpya juu ya afya ya Job.
Kuna Catherine Ruge wa CDM na Catherine Magige wa chama cha mawezi, huyo ya lumumba ndio alikua anan'gan'gania mume wa mtuSijachanganya mafaili ndio huyu msimbe anayeng’ang’ania wanaume za watu na kuishia kufanya fujo hadi kwenye misiba ya watu.
Baada ya kupoteza ubunge amekuwa kama kachanganyikiwa.
Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.[emoji3064][emoji15][emoji848]Aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na kushtakiwa mahakamani.
Hali hiyo ilikuja baada ya yeye kuibua Madudu mengi ya ufujaji wa pesa katika Mamlaka hiyo na kubainisha kuwa kulikuwa na baadhi ya watumishi wazalendo wa kutoka mamlaka hiyo walikuwa wakimpa nyaraka za ndani za matumizi mabaya ya pesa ambazo Bwana Kakoko alikuwa akizificha.
Akiongea kwa njia ya mtandao kupitia mjadala unaoendeshwa kupitia mtandao wa Clubhouse, Pia ndugu Catherine Ruge alisema amedokeza anashangaa watu wakihoji alipo aliyekuwa Spika wa bunge ndugu Job Yustino Ndugai wakati yeye anafahamu kuwa yupo Katika matibabu hospitali ya Apollo nchini India na Kuna ulinzi mkali umeimarishwa katika mahali alipo mgonjwa.
Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.
Wenye ubongo wa panzi kama ww hamuezi kuelewaKwa nini?
Muda utasema tu Wacha wajumpjumo kama maharage tuTaarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.[emoji3064][emoji15][emoji848]
Zilianza kama tetesiMbona unazungumzia Ndugai kama sub stori wakati inaonekana ni habari iliyokamilika?
Nini kinaendelea kwa Ndugai?
Pumbavu, polisi ipi? Ya Siro? Ili upate Nini? Write sense, talk sense!Alitoa taarifa polisi?
Catherine Ruge Chadema.Sio Mbunge.Sijachanganya mafaili ndio huyu msimbe anayeng’ang’ania wanaume za watu na kuishia kufanya fujo hadi kwenye misiba ya watu.
Baada ya kupoteza ubunge amekuwa kama kachanganyikiwa.
Mbona kunamfanya biashara wa kkoo alisimama akazungumza kuwa kuna maofisa wa TRA wamemzurumu bidhaa zake huku akiwa amelipa kodi zote,apo hapo Magufuli akatumbua watu na kuamurisha huyu mfanyabisha halipwe na fidia,?sema yule baba kasema baada ya Magufuri kufa wanataka kumzurumu,akuna mtu aliyeibua ubadhilifu enzi za Magufuri huyo mtu asifatiliwe,huyo mdada ni debe tupu anatafuta pakutokeaKipindi Cha yule nduli na muuji jpm nani aliyekuwa anathubutu kwenda polisi. Mungu ameliponya taifa ujue
Polisi ya Kenya?Alitoa taarifa polisi?