That is itMbowe SIO GAIDI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That is itMbowe SIO GAIDI
🤣🤣🤣duuhKakoko alikuwa katili sana yule mrundi!
Ya Jpm yalianza hivi hivi.Ninasikia kuna taarifa mpya juu ya afya ya Job.
Kupoteza Uspika tu tayari anaumwa?🤣🤣Aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na kushtakiwa mahakamani.
Hali hiyo ilikuja baada ya yeye kuibua Madudu mengi ya ufujaji wa pesa katika Mamlaka hiyo na kubainisha kuwa kulikuwa na baadhi ya watumishi wazalendo wa kutoka mamlaka hiyo walikuwa wakimpa nyaraka za ndani za matumizi mabaya ya pesa ambazo Bwana Kakoko alikuwa akizificha.
Akiongea kwa njia ya mtandao kupitia mjadala unaoendeshwa kupitia mtandao wa Clubhouse, Pia ndugu Catherine Ruge alisema amedokeza anashangaa watu wakihoji alipo aliyekuwa Spika wa bunge ndugu Job Yustino Ndugai wakati yeye anafahamu kuwa yupo Katika matibabu hospitali ya Apollo nchini India na Kuna ulinzi mkali umeimarishwa katika mahali alipo mgonjwa.
Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.
Wewe je,?ulimuamini mkulima wa ngogwe?Umemuamini huyo mkulima wa bamia!?
Yule alikuwa spana mkononi, 'kiti' pamoja na perdiem zilikuwa zinam'peti peti' kusukuma muda!Kupoteza Uspika tu tayari anaumwa?🤣🤣
Yaani kutoka Ikulu kukutana na Mheshimiwa mpaka kurudi Apollo.... Hii inafikirisha.Aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na kushtakiwa mahakamani.
Hali hiyo ilikuja baada ya yeye kuibua Madudu mengi ya ufujaji wa pesa katika Mamlaka hiyo na kubainisha kuwa kulikuwa na baadhi ya watumishi wazalendo wa kutoka mamlaka hiyo walikuwa wakimpa nyaraka za ndani za matumizi mabaya ya pesa ambazo Bwana Kakoko alikuwa akizificha.
Akiongea kwa njia ya mtandao kupitia mjadala unaoendeshwa kupitia mtandao wa Clubhouse, Pia ndugu Catherine Ruge alisema amedokeza anashangaa watu wakihoji alipo aliyekuwa Spika wa bunge ndugu Job Yustino Ndugai wakati yeye anafahamu kuwa yupo Katika matibabu hospitali ya Apollo nchini India na Kuna ulinzi mkali umeimarishwa katika mahali alipo mgonjwa.
Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.
Si nilisilia ana pension ya mabilioni? sasa shida iko wapi?Yule alikuwa spana mkononi, 'kiti' pamoja na perdiem zilikuwa zinam'peti peti' kusukuma muda!
Unataka kusemaje nduguYaani kutoka Ikulu kukutana na Mheshimiwa mpaka kurudi Apollo.... Hii inafikirisha.
Dunia haina siri hata ukiemda kutibiwa Visiwa bya usheli sheli utakutana na waswahili tu.Muda utasema tu Wacha wajumpjumo kama maharage tu
Kama ataweza kubargain na Mwenye Enzi kwa hizo billions zake basi namtakia kila kheri!Si nilisilia ana pension ya mabilioni? sasa shida iko wapi?
Polisi ipi hiyo..hii hii isiyojua hata PGO..Yaani inawezekana kweli padre asiijue biblia..sio polisi hao..jus a gang of crooks..Alitoa taarifa polisi?
🤣🤣Kama ataweza kubargain na Mwenye Enzi kwa hizo billions zake basi namtakia kila kheri!
mwache avune alichopandaNdugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.
Muhangaza!Hivi ni mrundi sio mhaya nilisoma naye Pugu Highschool alikuwa mbinafsi,atakuomba kitabu lakini chake hugusi
Ndugai anaumwa kalazwa Appolo anasumbuliwa na maradhi lukuki ikiwemo alipandikizwa Figo na wanadai ana yale mambo ya Gridi ya taifa sasa unajua grid ya taifa ina tabia ya kupunguza akili akaropoka.Mbona unazungumzia Ndugai kama sub stori wakati inaonekana ni habari iliyokamilika?
Nini kinaendelea kwa Ndugai?
Polisi ipi?Alitoa taarifa polisi?
Mkuu kisukari na hasira ni sumu, ukimkwaza mwenye sukari ni nusu kifo kwakeNdugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.