Tundu Lisu alitoa taarifa polisi na Spika alijua kuwa anafuatilia kuuawa. Je ilimsaidia? CCM ni laana na janga Kama Corona.Aliripoti Polisi au kumwambia spika wake?...Pole sana Ndugai (Kama kweli umelazwa).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lisu alitoa taarifa polisi na Spika alijua kuwa anafuatilia kuuawa. Je ilimsaidia? CCM ni laana na janga Kama Corona.Aliripoti Polisi au kumwambia spika wake?...Pole sana Ndugai (Kama kweli umelazwa).
Hivi ni mrundi sio mhaya nilisoma naye Pugu Highschool alikuwa mbinafsi,atakuomba kitabu lakini chake hugusiKakoko alikuwa katili sana yule mrundi!
Mh nadhani hii ni twist, huyu mkurugenzi kuiba sidhani ila sema alikuwa hajui uongoziAliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na kushtakiwa mahakamani.
Hali hiyo ilikuja baada ya yeye kuibua Madudu mengi ya ufujaji wa pesa katika Mamlaka hiyo na kubainisha kuwa kulikuwa na baadhi ya watumishi wazalendo wa kutoka mamlaka hiyo walikuwa wakimpa nyaraka za ndani za matumizi mabaya ya pesa ambazo Bwana Kakoko alikuwa akizificha.
Akiongea kwa njia ya mtandao kupitia mjadala unaoendeshwa kupitia mtandao wa Clubhouse, Pia ndugu Catherine Ruge alisema amedokeza anashangaa watu wakihoji alipo aliyekuwa Spika wa bunge ndugu Job Yustino Ndugai wakati yeye anafahamu kuwa yupo Katika matibabu hospitali ya Apollo nchini India na Kuna ulinzi mkali umeimarishwa katika mahali alipo mgonjwa.
Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.
Polisi wa Tanzania? Au KenyaAlitoa taarifa polisi?
Yule mrundi ni katili sana kafanya ufisadi akawabambikia kesi wasaidizi wake kule Kigoma!Acha uwongo unaweza bainisha hapa ukatili wa kakoko ulikuwa wapi? Na tangu wamchunguze je alishawahi kufikishwa mahakamani? Vijana fanyeni kazi acheni majungu kwa wakubwa zenu
Wa HaiPolisi wa Tanzania? Au Kenya
Ndugai alilazimishwa kujiuzulu au alifukuzwa na chama? maana angejiuzulu angeandika barua kwa katibu wa bunge kama katiba inavyotakaNdugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.
Kakoko kaiba sana.Mh nadhani hii ni twist, huyu mkurugenzi kuiba sidhani ila sema alikuwa hajui uongozi
Ni Mrundi yule.Hivi ni mrundi sio mhaya nilisoma naye Pugu Highschool alikuwa mbinafsi,atakuomba kitabu lakini chake hugusi
Sanaa, hasa huku kwetu kwa wamatumbiKiti kitamu aisee
Bujumbura!Du noma sana, ivi kakoko Yuko wapi siku izi
[emoji134][emoji134]Kakoko alikuwa katili sana yule mrundi!
Ufisadi halafu awe huru kweli?Yule mrundi ni katili sana kafanya ufisadi akawabambikia kesi wasaidizi wake kule Kigoma!
Kwani tuko China?!Ufisadi halafu awe huru kweli?
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ni mrundi sio mhaya nilisoma naye Pugu Highschool alikuwa mbinafsi,atakuomba kitabu lakini chake hugusi
Kipindi Cha yule nduli na muuji jpm nani aliyekuwa anathubutu kwenda polisi. Mungu ameliponya taifa ujueAlitoa taarifa polisi?
Polisi ndo nani?Alitoa taarifa polisi?
Polis ya nchi gani?Alitoa taarifa polisi?
Mlinzi pekee ni Mungu tu hao wenye vifaru na mitutu wanapoteza muda waoNdugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.
UmechemshaSijachanganya mafaili ndio huyu msimbe anayeng’ang’ania wanaume za watu na kuishia kufanya fujo hadi kwenye misiba ya watu.
Baada ya kupoteza ubunge amekuwa kama kachanganyikiwa.