Catylin Jenner atajutia kumkufuru Mungu

Catylin Jenner atajutia kumkufuru Mungu

Katiba ya marekani imewaahidi uhuru na ndio huo uhuru wanatumia. Hata hapa kwetu tusishangae haya mambo yakiingia kwasababu unaweza chukua mfano vile watu wengi wanaume na wanawake wanahangaikia sana namna watakavyoonekana mbele ya watu wengine hadi kufikia kubadili rangi za ngozi zao. Kwenye kitabu cha president Obama Dream from my father anasema moja ya mambo yaliyopata kumshangaza ni vile kuona kijana mweusi akibadili ngozi yake ifanane na ya mzungu nyeupe. Unaona sasa haya mambo yanavyokuwa? Hapo unapoishi wangapi wameingia katika mkondo ambao unahisi/jamii inahisi mmmhhh hii si sahihi kwetu hii lakini hao watu wao waneendelea kukumbatia tamaduni hizo. Sasa hapa ukiniuliza nini kinasababisha haya mambo kutokea mimi sijui ila nafahamu nini kinachosaidia habari zanamna hii kupewa hadhi katika kurasa za mwanzo kabisa katika habari. Mainstream media inachangia sana kuharibu jamii inatulisha kila aina ya takakata katika bongo zetu. Maaaan, don't let them school you.
 
Ha hahahahahahahahahahahaha yo crazy niqqa! Popoma alivyo na msura wake wanamkazaje sasa?

wewe usitake kupata picha huoni anavyokuaga na maneno machafu yaani umefanana na sewage system yake iliyotinduliwa hapafai kbsa.
 
Hivi GENTAMYCINE umepita huku?
Mimi simo......nimekuita tu.
 
Last edited by a moderator:
Ha hahahahahahahahahahahaha yo crazy niqqa! Popoma alivyo na msura wake wanamkazaje sasa?
Yalaaaaa,mashauzi yote kumbe mbovu?
Nina hasara mimi wajameni na kaka huyu popoma,Mnyarwanda wa wapi mbaya?
 
Yalaaaaa,mashauzi yote kumbe mbovu?
Nina hasara mimi wajameni na kaka huyu popoma,Mnyarwanda wa wapi mbaya?

Si shoga yako wewe, staki hata kumuona, jitu lina lugha chafu kama makalio yake
 
Si shoga yako wewe, staki hata kumuona, jitu lina lugha chafu kama makalio yake
Mimi mwenzio sinaga kiburi,ananitukana na kunikashifu kwelikweli ila bado nampenda tu.
Popoma huwezi kumchukia,leo atakukera kesho atakuvunja mbavu....
Leo akipitia huu uzi tutakomaje?
 
Mimi mwenzio sinaga kiburi,ananitukana na kunikashifu kwelikweli ila bado nampenda tu.
Popoma huwezi kumchukia,leo atakukera kesho atakuvunja mbavu....
Leo akipitia huu uzi tutakomaje?

---- sana shoga yako, akija mwambie apunguze kusaula ktk vibao kata maana tangu awe ana hudhuria ameharibika sana
 
Haha likija litakomaa na mambo ya Lugalo, jinga sana lile shoga lako
Kosa ulilolifanya ni kuji-expose kwake.
Mimi mwenzio urafiki wangu nae mwisho JF.
Anabakia kuhisia tu na kutumia post zangu kama weapon ya kunifanyia personal attack.
 
Kosa ulilolifanya ni kuji-expose kwake.
Mimi mwenzio urafiki wangu nae mwisho JF.
Anabakia kuhisia tu na kutumia post zangu kama weapon ya kunifanyia personal attack.

Hakuna popote nilipo jiexpose sema story tulizokua tunapiga akahisi ila hamna lolote la maana analolijua shoga yako yule
 
Hakuna popote nilipo jiexpose sema story tulizokua tunapiga akahisi ila hamna lolote la maana analolijua shoga yako yule
Hahahahaaa mimi nilidhani umejiexpose kwake?
Kweli popoma akili zake anazijua mwenyewe.
 
Kuna nyakati najiuliza hua anawaza kwa kutumia kona ipi ya mwili wake...
Hahahaaaaa mimi nampendea vituko vyake tu.
Akiamua kujitoa fahamu mbavu zangu lazima ziume.Hasa zile story zake.....
 
Back
Top Bottom