Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
Hahahaaaaa mimi nampendea vituko vyake tu.
Akiamua kujitoa fahamu mbavu zangu lazima ziume.Hasa zile story zake.....
Lol..ukiona vile ujue kaboreka anataka kuchat..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa mimi nampendea vituko vyake tu.
Akiamua kujitoa fahamu mbavu zangu lazima ziume.Hasa zile story zake.....
Juzi kati alituvunja mbavu mimi, Mbimbinho na wengineo kwa story za timbwili la Mzee wa TISS mstaafu,uliiona?
Aisee nilicheka sana.
Ngoja nikakuiteNgoja nitafute!
He still is Bruce Jenna to me....
Ataanza na wewe uliyesema ana sura mbaya,mimi wala sijamsema vibaya.nyie mnamtafuta popoma eeh, atawapa matusi yaliyotukuka ngoja aje hapa
hii ingilishi mmmh
Shule tushafunga mkuu..mpaka mwezi wa kwanza..mzazi halipi ada tena umesahau elimu bureNenda shule, acha kuangalia upuuzi wa Instagram kutwa nzima. Elimu itakusaidia ukubwani ndio maana babaako anahangaika kukulipia Ada. #YouHearMe
Umeona mambo yake kule kwenye uzi wake wa mahojiano ya Koffi Olomide na clouds?Hahahaaaa, huyo jamaa hafai, yaani nikiona tu post yake najua usalama wa mbavu hamna.., jamaa fix hatari
Umeona mambo yake kule kwenye uzi wake wa mahojiano ya Koffi Olomide na clouds?
Mbavu zinaniuma.
Haya ngoja nikakutag....Sijaona bado, nitag nicheke hapa maana kuna mtu kanikera leo