CBE Dodoma wagoma

CBE Dodoma wagoma

mpenda pombe

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
1,406
Reaction score
711
Habari nilizozipata, huko Dodoma, wanafunzi wa Bachelor wote wamegoma fanya mitihani ya end of semister.. Kisa imetungiwa CBE dar..
 
Wakishagoma faida ya nani?? Waambieni waache ujinga huo kwani ikitungwa dar ni issue???
 
nilidhani wamegoma kushinikiza serlkali ichukue hatua kuboresha elimu ya sekondary nchini, kupinga ongezeko la bei ya umeme na makli ya maisha kwa ujumla, malipo kwa dowans na mengine kama hayo, kumbe wanahofu kufeli mitihani!
 
Wanafunzi wanajuaje mtihani unakotoka na inawasaidia nini sasa ?
 
kwani kugoma si katika haki za msingi?! kama ilivyokuandamana na kulala barabarani!
 
waache ujinga hao watoto bora ingekuwa wenzao wamezuiwa kufanya mtihani....
 
hawa watoto vp? Fanyeni mitihani nyny acheni ulimbukeni! Mitihani inatungwa nje ya nchi sembuse dar kwa hapo dom! Mfano mimi nimesoma chuo cha Coventry university tawi la Tanzania makao makuu Uingereza mitihani yote inatungiwa Uingereza na 2napgwa lecture na lecturerz wa Tz!! Amka ww
 
unajua kuna vyou vinabeba vilaza wengi sasa hao ni wasumbufu sana in Academic issues.

Hawa naona ni vilaza sana. Lakini kuna mtu kauliza hapo juu hivi wamejuaje kama mtihani umetungwa Dar??

Watoto wa siku hizi bana sijui wakoje vijinga jinga tu hovyo hovyo bila sababu.

Tena ningekuwa mkuu wa chuo ningekwenda kutungia London kabisa.

Vipuuzi sana hivi vitoto vishacheza disco zao huko havijasoma vinasingizia eti mtihani kutoka Dar INAHUUUU???
 
Habari nilizozipata, huko Dodoma, wanafunzi wa Bachelor wote wamegoma fanya mitihani ya end of semister.. Kisa imetungiwa CBE dar..[/QUOTE]

Hapo kwenye underline hapo kama ndo sbb pekee, bac 2mekwisha...................
 
Pia nimepata habari mpya.. CBE Dar Mitihani imeahilishwa kwa kuvuja leo asubuhi... Ivo Bachelor wote haijulikani watafanya lini exams..
 
cbe dar wanajulikana kwa kupenda club bills na wa cbe dom yao ni club 84. ikiwezekana hii mitihani yao ikatungiwe kwenye hizo clubs or in any other popular pubs in tanzania ndio hawatagoma. hawasomi wale,wanaleta ushalubaro na ushalushosti kwenye shule. rubish......................
 
Wanyanganywe ata heshma ya kuwa chuo kwa level ya chuo unaanzaje kutungiwa mitihani na sister college kama ni mitihani michache sawa sasa yote?
Inakuwa kama secondary kutungwa mitihani na NECTA
 
vinaogoa kwani havijasoma hvyo vilikuwa vipo lolindo kwa yule babu anayetibu si mnajua tena ndo dawa hyo imegunduliwa ...
 
kwa ufahamu wa kawaida mtihani unatungiwa mahali husika chuo kilipo na mkufunzi husika katika fani husika hivyo sidhani kama kuna logic hapa, hao ni tu kutaka miteremko na pia cbe dar na cbe dom ni kitu kimoja ambao wanashare kila kitu so where is the problem. na pia ni suala la kutokufikiria maana hawajui gharama ya muda. lakini ndio hivyo hiyo ndio tz yetu
 
Back
Top Bottom