Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
Pia nimarufuku kuvaa vitopu vinavyoonyesha matiti . Walinzi hao waweambia ikibainika mwanachuo wa kike au mgeni wa kike kapita getini na kuvaa kinyume atawajibika
Ila kusema kweli kile chuo kina vichangu classic kibao! Vitapata shida kweli na hilo tangazo. Ila ni vizuri.
Ila kusema kweli kile chuo kina vichangu classic kibao! Vitapata shida kweli na hilo tangazo. Ila ni vizuri.
inafurahisha ngoja waje watetezi wa haki za wanawake wakina Gaijin kuja kupinga....pale ni chuno na sio sehemu ya kuonyesha maungo yao.....napenda na maofisini ianze....[/QU kijana sasa pale kama system hii ya kinadada pale watanyooka . Ulikuwa unamkuta kavaa ngua kila anakopita siwalimu siwanafunzi wanageuka kwa kuangalia makalio jinsi yalivyo banwa
Haya bana kama wameamua hivyo, lakini ilikuwa burudani!!!
Haya bana kama wameamua hivyo, lakini ilikuwa burudani!!![/QU Tatizo kubwa kwa wasichana na kushindwa kutofautisha nguo zipi zinavaliwa usiku zipi zinavalia night club au zipi wavae wanapokuwa ofisini