Madogo mnadanganyana sana humu. Nadhani ni wakati wakongwe wa jukwaa turudi kuwasaidia. Tukiendelea kuwaacha hivi mtapotezana bila shaka.
Jambo ambalo uwa silipendi kwenye hili jukwaa ni ubishi kwa baadhi ya members. Hilo likirekebishwa basi tutashirikiana kwa ukaribu na mtaweza kujifunza mengi sana.
Jambo ambalo uwa silipendi kwenye hili jukwaa ni ubishi kwa baadhi ya members. Hilo likirekebishwa basi tutashirikiana kwa ukaribu na mtaweza kujifunza mengi sana.