Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Kuna issue inaitwa population competition, mfano: Kwenye udokta, wenye CCC za PCB wana qualify kwendra, cha ajabu unakuta kuna mipenda sifa ina AAA halafu unakuta ni mingi kuliko nafasi za vyuoni, haya mapenda sifa yalinikosesha udokta, wenda na mimi ningekuwa navaa koti jeupe na 3 yangu ya 14
[emoji41][emoji41]
pole sana😂😂