Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Kuna issue inaitwa population competition, mfano: Kwenye udokta, wenye CCC za PCB wana qualify kwendra, cha ajabu unakuta kuna mipenda sifa ina AAA halafu unakuta ni mingi kuliko nafasi za vyuoni, haya mapenda sifa yalinikosesha udokta, wenda na mimi ningekuwa navaa koti jeupe na 3 yangu ya 14
[emoji41][emoji41]
pole sana😂😂
Hawezi pataFood and nutrition pale Sua
Hawezi pataAsome Bsc with Geology pale UDSM, kuna wanangu wamesoma wanakula maisha tu saivi
Unapotoa maoni jaribu kuangalia effect ya maoni husika
Mpishi wa ikuluAnaweza kuwa nani akihitimu? Samahani
Njaa zako ndio zilikufanya usiwe Dr sio hao jamaa wa AAA, ungeweza kushuka South au Kenya tuu nafasi kibao na kuna vyuo vizuri sana lakini huna kitu, acha lawamaKuna issue inaitwa population competition, mfano: Kwenye udokta, wenye CCC za PCB wana qualify kwendra, cha ajabu unakuta kuna mipenda sifa ina AAA halafu unakuta ni mingi kuliko nafasi za vyuoni, haya mapenda sifa yalinikosesha udokta, wenda na mimi ningekuwa navaa koti jeupe na 3 yangu ya 14
[emoji41][emoji41]
Mkuu kuna mijitu hudandia yasiyowahusu, nimefanya joke kwa jamaa yangu lenyewe limekuja mbio kuniattack ilhali mhusika hajasema kitu. Jitu kama Hilo ni la kuhasiwa na kupigwa miti kabisaAombe architecture au land management and valuation pale ARU.
Ila mkuu post namba 14 umetukana sana bila sababu za msingi.
Kwa nn umuhasi? Kwani huwezi kumpiga hiyo Miti pasi na Kumuhasi?Mkuu kuna mijitu hudandia yasiyowahusu, nimefanya joke kwa jamaa yangu lenyewe limekuja mbio kuniattack ilhali mhusika hajasema kitu. Jitu kama Hilo ni la kuhasiwa na kupigwa miti kabisa
Hiyo si inaitwa bachelor of science in biology kutokana na maoni ya wadau wanasema kwa bongo hiyo kutoboa ngumu coz imefinywa kwenye ajira kwamba hakuna za kutosha .kuna kozi Udom kuhusu biology lbda aombe hiyo lkn kwanza angalia vigezo.vyake
Mmmhhh Agriculture general na horticulture hawezi pata ple SuaSUA Agriculture in general na Horticulture zinzkubali kutokana na muongozo wa TCU
Ohoooo kumbeeHiyo si inaitwa bachelor of science in biology kutokana na maoni ya wadau wanasema kwa bongo hiyo kutoboa ngumu coz imefinywa kwenye ajira kwamba hakuna za kutosha .
Environment laboratoryWakuu habari za wakati huu.
Nina mdogo wangu amesoma mchepuo wa CBG na amepata D tatu. Naomba msaada ni Kozi Gani nzuri anaweza akasom
Archtecture familia iwe na financial muscels vinginevyo atatesekaAombe architecture au land management and valuation pale ARU.
Ila mkuu post namba 14 umetukana sana bila sababu za msingi.
Sawa, hili sikuwa mwenye kulijua sana. Ila kwa waliopita huko huenda wameliona hilo.Archtecture familia iwe na financial muscels vinginevyo atateseka
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app