CBG kapata D tatu, asome kozi Gani?

Sawa, hili sikuwa mwenye kulijua sana. Ila kwa waliopita huko huenda wameliona hilo.
Kozi hiyo ada ya kawaida ila matumizi ya kozi kwa wiki inaenda kwenye elfu 30 kuna muda huwa yanaenda mbali hadi kufikia laki 2 hapo vifaa hajanunua kama kwao anapikia mkaa bora asiende

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…