Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona halitoki? Nimekesha club leo nikisubiria. Na hapa naendlea kuzipiga za baridiiiUzi umefufuka wenyewe wakati huohuo Tunasubuiri tangazo tu la tanzia
Mgonjwa yuko nchi gani leo au hamjapewa taarifa.
Wanalogana balaaWatakufa na kuuwana wenyewe kwa wenyewe ni muda tu ndo haujafika
Na baya zaidi ni kupora raia haki ya kuchagua viongozi wanaowataka. Ni wao tu CCM ndiyo watawale milele. Kitendo hiki kimesababisha chuki kati yao na raia wenye itikadi tofauti.Siasa chafu za ubaguzi mlizochagua kuitana wale si wenzetu wale wasaliti, wale si wazalendo ni mbegu mbaya mnayopanda, mnajenga jamii yenye mgawanyiko, mnaligawa taifa kwa matendo yenu.
Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.
Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.
Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.
Mhusika huyu mwaka jana alifanyiwa upasuaji wa kichwa kutokana na madhara ya kutandikwa jiwe na wanaccm hawaMtumeee!
Nimeamini maneno yako,unapashwa kuitwa NABII .Siasa chafu za ubaguzi mlizochagua kuitana wale si wenzetu wale wasaliti, wale si wazalendo ni mbegu mbaya mnayopanda, mnajenga jamii yenye mgawanyiko, mnaligawa taifa kwa matendo yenu.
Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.
Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.
Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.
Siasa chafu za ubaguzi mlizochagua kuitana wale si wenzetu wale wasaliti, wale si wazalendo ni mbegu mbaya mnayopanda, mnajenga jamii yenye mgawanyiko, mnaligawa taifa kwa matendo yenu.
Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.
Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.
Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.