CCM acheni kulialia, hizi ndizo siasa chafu mlizochagua

CCM acheni kulialia, hizi ndizo siasa chafu mlizochagua

Hata sasa tulikuwa tunalipika tu, ili tuone ghadhab na chuki zenu zimefikia Centigrade ngapi! huku kwetu ni mwendo wa kupoa tu.
 
Hii nchi CCM wamejimilikisha, ukiwa mpinzani hata ukipata kura za kutosha huwezi kutangazwa mshindi. Wapinzani kufungwa, kupotea, kubambikiwa kodi kubwa katika biashara ni sehemu tu ya maisha.
 
Tangu awamu ya tano imeingia madarakani watu walitekwa wakapotetwa kabisa na wengine wakarudishwa toka mafichoni, wengine wakapigwa risasi na kuumizwa vibaya, wengine waliuawa kabisa na mpaka leo tusijue wahusika ni kina nani.

Haya matukio yamelijengea taswira mbaya taifa na ni mengi kuliko wakati wowote tangu nchi hii ipate uhuru.

Aliye nyuma ya mambo haya Mungu atashughulika naye kwa uwezo wake maana yeye ndiye aliyetuleta duniani.

CCM uchaguzi umefika mkalazimisha matokeo hata mahali ambako hamkushinda, kura haramu zinakamatwa mchana kweupe, mnanyanyasa mawakala kutoka vyama viingine utafikiri uchaguzi huu hauwahusu?

Mmekula haramu na dhambi hii itawatesa sana acheni kulialia mkiona kuna watu wanafurahia mabaya yanaposemwa, mmeuasisi ubaya huu na chuki mkidhani kula haramu ni haki yenu Mungu amewasahau.

Kwa jina la Molla aliyeumba ardhi na mbingu kwa madhambi haya CCM Kuna siku mtalipa. Kule ni kuku wa haramu kwa mirija lakini kuna siku mtalipa na mtamtafuta mchawi wenu aliyewaloga.

Nawatakia mapumziko mema ya siku ya mwisho wa wiki. Ameen!
 
Mgonjwa yuko nchi gani leo au hamjapewa taarifa
 
Siasa chafu za ubaguzi mlizochagua kuitana wale si wenzetu wale wasaliti, wale si wazalendo ni mbegu mbaya mnayopanda, mnajenga jamii yenye mgawanyiko, mnaligawa taifa kwa matendo yenu.

Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.

Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.

Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.
Na baya zaidi ni kupora raia haki ya kuchagua viongozi wanaowataka. Ni wao tu CCM ndiyo watawale milele. Kitendo hiki kimesababisha chuki kati yao na raia wenye itikadi tofauti.
 
Siasa chafu za ubaguzi mlizochagua kuitana wale si wenzetu wale wasaliti, wale si wazalendo ni mbegu mbaya mnayopanda, mnajenga jamii yenye mgawanyiko, mnaligawa taifa kwa matendo yenu.

Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.

Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.

Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.
Nimeamini maneno yako,unapashwa kuitwa NABII .

Leo hii wameanza kulia na kuwaangukia wale walio wadhihaki kipindi kile.

Leo hii neno lao ni watanzania tuwe wazareendo,uzareeendo huo mnauona leo hii wakati mpo kwenye kibano?

Imeandikwa kuwa dunia ni duara wacha nanyi jua liwawakie.
 
Spika na bunge lilifanya kulingana na taratibu za kibunge! Ni upumbafu uliopindukia kufikiri kuwa serikali inaweza kuzuia watu wasimuombee mtu au kitu maana haya yanafanyika kati ya mtu na Muumba wako! Unaposema serikali ilizuia hivi ww ni taahira au nini🤔!? Kila mtu anavuna apandacho, tusi
Siasa chafu za ubaguzi mlizochagua kuitana wale si wenzetu wale wasaliti, wale si wazalendo ni mbegu mbaya mnayopanda, mnajenga jamii yenye mgawanyiko, mnaligawa taifa kwa matendo yenu.

Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.

Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.

Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.
 
Back
Top Bottom