CCM acheni kulialia, hizi ndizo siasa chafu mlizochagua

CCM acheni kulialia, hizi ndizo siasa chafu mlizochagua

Spika na bunge lilifanya kulingana na taratibu za kibunge! Ni upumbafu uliopindukia kufikiri kuwa serikali inaweza kuzuia watu wasimuombee mtu au kitu maana haya yanafanyika kati ya mtu na Muumba wako! Unaposema serikali ilizuia hivi ww ni taahira au nini🤔!? Kila mtu anavuna apandacho, tusi
 
Siasa chafu za ubaguzi mlizochagua kuitana wale si wenzetu wale wasaliti, wale si wazalendo ni mbegu mbaya mnayopanda, mnajenga jamii yenye mgawanyiko, mnaligawa taifa kwa matendo yenu.

Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.

Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.

Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.
Kumbe mmeanzia huku kumvizia hayati JPM mkapata upenyo wa kisingizio cha kwamba ana matatizo ya moyo?

Mliowajeruhi kwa kweli hawataacha kufumbuka macho na kifuatacho sijui watafanya nini kwako
 
Kumbe mmeanzia huku kumvizia hayati JPM mkapata upenyo wa kisingizio cha kwamba ana matatizo ya moyo?

Mliowajeruhi kwa kweli hawataacha kufumbuka macho na kifuatacho sijui watafanya nini kwako
Kumbe mna mawazo hayo poleni sana, kwa hiyo huamini kafa kwa matatizo ya moyo, inaonekana unajua mengi unatakiwa utusaidie unachokijua.
 
Back
Top Bottom