Uchaguzi 2020 CCM acheni kutisha wamiliki wa shule/vyuo binafsi. Eti taasisi zao zitafuatiliwa Lissu akipata kura nyingi

Uchaguzi 2020 CCM acheni kutisha wamiliki wa shule/vyuo binafsi. Eti taasisi zao zitafuatiliwa Lissu akipata kura nyingi

Kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanaenda kwa wamiliki wa shule/ vyuo binafsi kuwatisha.

Wanawaambia kuwa endapo ikibainika Lisu anaongoza kwa kura ktk vituo vya kupigia kura vilivyo jirani ama ndani ya taasisi hizo, basi taasisi hizo zijiandaye kushughulikiwa baada ya uchaguzi.

Eti kwamba itaonekana taasisi hizo zimepokea fedha toka Chadema ili taasisi hizo zitoe ushawishi kwa wanafunzi kumpigia Lisu kura. Jamani?

Lissu mwenyewe hana hata hela ya kampeni anapitisha bakuli kila mkutano. Atapata wapi hela ya kuhonga?

Wanawatia presha bure watu wa watu. Sasa wamiliki wafanyeje? Wanashughulikiaje suala kama hilo?

CCM mbona mmepaniki Sana??? Kwani lazima mshinde ninyi?
kwani kuna kura za taasisi ? watajuaje nani kapiga huku nani kapiga kule kura yake
 
Wameishiwa pumzi, wamebaki humu jf kujipa matumaini

Hakikisha unanwaga nyuki
Wanapambana kila kona kuhakikisha vibaraka wanashinda kwa kisingizio cha uchaguzi
Hii ni vita ya kiuchumi na Tanzania watashinda
 
Wapambane na hali zao

Tunategemea maboresho makubwa zaidi kwenye sekta ya elimu waliyoiua makusudi ili watengeneze pesa huku maskini wakitaabika


Mishahara mmeshindwa kuongeza kwa miaka mitano maboresho ndo mtaweza??
 
Mishahara mmeshindwa kuongeza kwa miaka mitano maboresho ndo mtaweza??

Unajua maana ya thamani ya pesa?
Mishahara haiongezwi kisiasa inaongezwa kwa misingi ya kiuchumi na itaongezwa baada ya uchaguzi, sio rushwa
 
Kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanaenda kwa wamiliki wa shule/ vyuo binafsi kuwatisha.

Wanawaambia kuwa endapo ikibainika Lisu anaongoza kwa kura ktk vituo vya kupigia kura vilivyo jirani ama ndani ya taasisi hizo, basi taasisi hizo zijiandaye kushughulikiwa baada ya uchaguzi.

Eti kwamba itaonekana taasisi hizo zimepokea fedha toka Chadema ili taasisi hizo zitoe ushawishi kwa wanafunzi kumpigia Lisu kura. Jamani?

Lissu mwenyewe hana hata hela ya kampeni anapitisha bakuli kila mkutano. Atapata wapi hela ya kuhonga?

Wanawatia presha bure watu wa watu. Sasa wamiliki wafanyeje? Wanashughulikiaje suala kama hilo?

CCM mbona mmepaniki Sana??? Kwani lazima mshinde ninyi?
Hawa watu ni wepesi sana bila polisi wala tume
 
safari hii wababe wa dunia wamewaambia lazima maoni ya wananchi kwenye sanduku la kura yaheshimiwe ndo maana muda wote wanakunyakunya hovyo kama bata.
 
Kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanaenda kwa wamiliki wa shule/ vyuo binafsi kuwatisha.

Wanawaambia kuwa endapo ikibainika Lisu anaongoza kwa kura ktk vituo vya kupigia kura vilivyo jirani ama ndani ya taasisi hizo, basi taasisi hizo zijiandaye kushughulikiwa baada ya uchaguzi.

Eti kwamba itaonekana taasisi hizo zimepokea fedha toka Chadema ili taasisi hizo zitoe ushawishi kwa wanafunzi kumpigia Lisu kura. Jamani?

Lissu mwenyewe hana hata hela ya kampeni anapitisha bakuli kila mkutano. Atapata wapi hela ya kuhonga?

Wanawatia presha bure watu wa watu. Sasa wamiliki wafanyeje? Wanashughulikiaje suala kama hilo?

CCM mbona mmepaniki Sana??? Kwani lazima mshinde ninyi?
Naona mnaanza kutengeneza movie nyingine, endeleeni tu lakini baada ya 28 mtaji utakuwa umekata
 
Kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanaenda kwa wamiliki wa shule/ vyuo binafsi kuwatisha.

Wanawaambia kuwa endapo ikibainika Lisu anaongoza kwa kura ktk vituo vya kupigia kura vilivyo jirani ama ndani ya taasisi hizo, basi taasisi hizo zijiandaye kushughulikiwa baada ya uchaguzi.

Eti kwamba itaonekana taasisi hizo zimepokea fedha toka Chadema ili taasisi hizo zitoe ushawishi kwa wanafunzi kumpigia Lisu kura. Jamani?

Lissu mwenyewe hana hata hela ya kampeni anapitisha bakuli kila mkutano. Atapata wapi hela ya kuhonga?

Wanawatia presha bure watu wa watu. Sasa wamiliki wafanyeje? Wanashughulikiaje suala kama hilo?

CCM mbona mmepaniki Sana??? Kwani lazima mshinde ninyi?
Acha utopolo wako!
 
safari hii wababe wa dunia wamewaambia lazima maoni ya wananchi kwenye sanduku la kura yaheshimiwe ndo maana muda wote wanakunyakunya hovyo kama bata.
Akili za kitumwa hizi kijana. Jitambue!
 
ElFMmJRXUAI8_uH.jpeg
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanaenda kwa wamiliki wa shule/ vyuo binafsi kuwatisha.

Wanawaambia kuwa endapo ikibainika Lisu anaongoza kwa kura ktk vituo vya kupigia kura vilivyo jirani ama ndani ya taasisi hizo, basi taasisi hizo zijiandaye kushughulikiwa baada ya uchaguzi.

Eti kwamba itaonekana taasisi hizo zimepokea fedha toka Chadema ili taasisi hizo zitoe ushawishi kwa wanafunzi kumpigia Lisu kura. Jamani?

Lissu mwenyewe hana hata hela ya kampeni anapitisha bakuli kila mkutano. Atapata wapi hela ya kuhonga?

Wanawatia presha bure watu wa watu. Sasa wamiliki wafanyeje? Wanashughulikiaje suala kama hilo?

CCM mbona mmepaniki Sana??? Kwani lazima mshinde ninyi?
Wanafunzi wa shule nao wanapiga kura?
Kwa muda huu vyuo vya juu na kati vimefungwa sasa wanatishaje wakati wapiga kura hawapo?
Na labda tuambie ni sehemu gani vituo vya kupiga kura vipo ndani ya vyuo vya watu binafsi?
 
Back
Top Bottom