CCM acheni siasa za kutengeneza matukio kuficha uovu wenu

CCM acheni siasa za kutengeneza matukio kuficha uovu wenu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mmeona leo Watanzania watawakalia kooni suala la Bandari mkaumua mutengeneze tukio la kumteua Makonda mtu mwenye kashfa za unyang'anyi na uuaji.
Ashukuriwe Mungu mmemteua kwenye mambo yahusuyo CCM na si ya kiutumishi.
Huko CCM dhambi zote mnazibeba na karibu viongozi wote mna dhambi kubwa kubwa kiasi kwamba dhambi za Makonda zinaonekana si dhambi.
 
Mmeona leo Watanzania watawakalia kooni suala la Bandari mkaumua mutengeneze tukio la kumteua Makonda mtu mwenye kashfa za unyang'anyi na uuaji.
Ashukuriwe Mungu mmemteua kwenye mambo yahusuyo CCM na si ya kiutumishi.
Huko CCM dhambi zote mnazibeba na karibu viongozi wote mna dhambi kubwa kubwa kiasi kwamba dhambi za Makonda zinaonekana si dhambi.
Huyu mama ni muuaji, katili kama Hamas et al
 
Mmeona leo Watanzania watawakalia kooni suala la Bandari mkaumua mutengeneze tukio la kumteua Makonda mtu mwenye kashfa za unyang'anyi na uuaji.
Ashukuriwe Mungu mmemteua kwenye mambo yahusuyo CCM na si ya kiutumishi.
Huko CCM dhambi zote mnazibeba na karibu viongozi wote mna dhambi kubwa kubwa kiasi kwamba dhambi za Makonda zinaonekana si dhambi.
Siasa ni akili
 
Mtu ambaye alinyima haki ya watu kuishi amepewa uongozi ndani ya chama changu!

Siamimi yaliyofanyika.
 
Mmeona leo Watanzania watawakalia kooni suala la Bandari mkaumua mutengeneze tukio la kumteua Makonda mtu mwenye kashfa za unyang'anyi na uuaji.
Ashukuriwe Mungu mmemteua kwenye mambo yahusuyo CCM na si ya kiutumishi.
Huko CCM dhambi zote mnazibeba na karibu viongozi wote mna dhambi kubwa kubwa kiasi kwamba dhambi za Makonda zinaonekana si dhambi.
Kateuliwa kimkakati kuua na kupoteza viajana wasioipenda CCM
 
Nilikuwa naanza kumuamini Samia kuwa anazizika Siasa za Chuki kumbe ni hadaa tu.

Naifuta rasmi Signature.
Kuna kipindi niliona unapotea, Kila nikijiuliza umepatwa na Nini hata sikupata jibu. Uliamini kirahisi mno Samia si wa kuamini ghafla.
 
Kuna kipindi niliona unapotea, Kila nikijiuliza umepatwa na Nini hata sikupata jibu. Uliamini kirahisi mno Samia si wa kuamini ghafla.
Ni kweli aisee nilianza kumuamini sana Samia aisee... na zile falsafa zake za 4R's haswa ile REFORMS kumbe anatuhadaa na lengo lake ni Kupora Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom