CCM acheni utaratibu wa kubeba wanafunzi kwenye mikutano kwa maelekezo wasivae nguo za shule. Mnamdanganya nani?

Nimeshuhudia hii katika uwekaji wa jiwe la msingi upanuzi wa kiwanda Cha sukari kilombero K4. Yaani ni aibu
 
Na walimu wote kulazimishwa kuhudhuria na kusaini asiyesani hutishiwa kuchuliwa hatua kali huu ni uonevu na udhalilishaji kwa walimu.
 

Chama kikishakaa madarakani muda mrefu hupoteza mvuto, baada ya hapo huanza kutumia nguvu ya dola kuhadaa umma kuwa kinakubalika. Matokea yake ndio hayo ya kusomba wanafunzi ili kujaza mikutano yao.
 
Wajanja sana barua inaelekezwa kwa idara ya elimu tuu halafu maelekezo mengine yanakuja kwa mdomo watoto wasivae nguo za shule 🤣🤣🤣
 
Tuma picha ili kuthibitisha hoja yako
Kabla ya mimi kumaliza shule hiyo ilikuwa taratibu tunarudishwa shule nakuambiwa twende kwenye mikutano ya ccm. Hata usiwe na picha hiyo ndio hali halisi labda ukatae tu kwa ubishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…