CCM, Angelina Mabula na Stanslaus Mabula, hizo nyumba zilizouzwa na Jiji la Mwanza zinaenda kuwa ajenda ya kwanza ya wapinzani. Mtatikiswa!

Sasa Malima kazaliwa Dar, wewe umekulia milimani huko unajiita mtoto wa mjini?

Mtoto wa Waziri, tena wa fedha, Ofisi ya msajili wa hazina ilikuwa chini yake, alishakuwa Waziri, anajua taratibu zote za mali za serikali.
Huku kakutana na watu wa kazi na si watu wa maneno mengi, huku akiendekeza uswahili kama wa Dar hatoboi.
 
Haki ya myonge itapatikana tu kama zilifata utaratibu uyo mkurugenzi kasimamishwa kwa kosa gani!?
 
Mnakiri mmeuza kwa nusu bei, na huyo wa juu mtasema ni nani, maana maafisa ardhi kwa Sasa Kila wakiuza kiwanja ca serikali wanasema amenunua ridhiwani kikwete na ndiye kawapa order, Kila mmoja atatoa hesabu yake
Unajua kujifirahisha hii ishu imeshaisha lkn huyo mzee ambaye anabebwa na serikali muds wake hapa Mwanza umekaribia kuisha.
 
Haki ya myonge itapatikana tu kama zilifata utaratibu uyo mkurugenzi kasimamishwa kwa kosa gani!?
Hii nchi ni ya ajabu sana, unazani mkurugenzi anaweza kufanya hivyo bila baraka kutoka juu kwani yeye hapendi kibarua chake.
 
Hii nchi ni ya ajabu sana, unazani mkurugenzi anaweza kufanya hivyo bila baraka kutoka juu kwani yeye hapendi kibarua chake.
Sisi tunamwaga maji kwenye shimo, maji yakijaa nguchiro mtakosa hewa, mtaibuka tu, mkiibuka tunakata kichwa
 
huyu mama hafai alipata kwa nguvu ya jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…