CCM, Angelina Mabula na Stanslaus Mabula, hizo nyumba zilizouzwa na Jiji la Mwanza zinaenda kuwa ajenda ya kwanza ya wapinzani. Mtatikiswa!

Takukuru itafanya nini wakati order imetoka kwa anayewalipa mshaharaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kila mtu atalipa hesabu yake, hasa kwa mazingira ya mwanza na Kanda ya ziwa, maji ya kisiasa ya ukanda huo hayajatulia
 
Ni kipi alisaidia na uwaziri wake, hii nchi ndio maana inazidi kuwa ya ovyo, kumpa mtu cheo kikubwa cha uwaziri jitu kama adamu malima ni sawa na uwendawazimu.
Malima, kazia hapohapo, lazima mlale na maluweluwe, badala ya kutaja majina ya wake zenu, mtataja la Malima.

Kama order imetoka juu, mbona umevurugwa?

Na hakuna juu zaidi ya mwananchi
 
Takukuru itafanya nini wakati order imetoka kwa anayewalipa mshaharaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu issue kama hizi za ardhi zinakuaga na vitu vingi sana ngoja tuone mwisho wa kitu uchaguzi unakalibia
 
Acha uongo ww kuna nyumba ya matope inauzwa bil 1?
 
we acha ujinga adamu malima sio zee la kiswahili huyo ni msomi wa kiwango cha masters tena uingereza kwenye chuo ambacho maisha yako hutaweza kusoma
 
Angelina ana husika nini viwanja vimekaa miaka 20 adi vinaota vichuguu, sheria ya ardhi inasemaje kwa viwanja visivyoendelezwa.
Ardhi ya serikali inaweza kukaa miaka mia, hata elfu, The Law Of Limitation Act, CAP 89 haitumiki dhidi ya ardhi ya serikali, ndio maana wavamizi wa Ardhi ya shirika la reli, barabaraambazo magufuli alivunjia watu wamekaa miaka 50, walitolewa.

Kigezo Cha miaka 12 si katika ardhi ya umma.

Na aliyetakiwa kuendeleza ni Jiji, na yeye anamlaumu nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…