CCM, Angelina Mabula na Stanslaus Mabula, hizo nyumba zilizouzwa na Jiji la Mwanza zinaenda kuwa ajenda ya kwanza ya wapinzani. Mtatikiswa!

Wala usipate shida hakuna lolote litakalofanyika kwani sio Mwanza tu ni kawaida ya Mawaziri wa Ardhi wa Tanzania kudhulumu ardhi za watu bilakuona aibu hata ndege za Tanzania hazitatuka ulaya kwani waliodhuliwa na hao Mawaziri ni wengi na wako nchi mbalimbali na kesi zinafunguliwakila siku ulaya dhidi ya hiyo nchi ya kidhalimu
 
Takukuru itafanya nini wakati order imetoka kwa anayewalipa mshaharaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Takukuru wa Tanzania ndio wezi wenyewe usipoteze mda wako kwenda Takukuru kuwajulisha chochote nasikia wanaomba pesa ulaya eti waboreshe taasisi yao itabidi tujulishe serikali za ulaya kuwa Takukuru ndio matapeli na hawafai kupewa msaada kutoka kodi zetu huku ulaya
 
Angelina ana husika nini viwanja vimekaa miaka 20 adi vinaota vichuguu, sheria ya ardhi inasemaje kwa viwanja visivyoendelezwa.
Kuna viwanja vingapi ambavyo vimekaa miaka nenda rudi nahakuna mtu anagusa??Tena unawezakuwa jirani na viwanjaambavyo hawathubutu kugusa alafu cha kwako wanakuletea uhanithi. Hiyo imejaa majambazi wa ardhi na mali za watu lakini wananchi ni wapole hawajui haki zao wanadanganywakila siku
 
Kwaiyo kama vinawamiliki sheria inasemaje apo kwamba vikiuzwa viliwe juu kwajuu wenye navyo wasipate kitu
Sheria inasemaukifyeka na kuweka ukutaumedhaendeleza ujinga utaisha lini Tanzania??
 
Sheria inasemaukifyeka na kuweka ukutaumedhaendeleza ujinga utaisha lini Tanzania??
Wala sio ukuta wa matofali kweli kuna shida sana Tanzania katika kudhulumu mali za watu hasa ardhi na utakuta Watanzania wengi wanasamehe na kumuachia mungu inabidi wawe kama Wayahudi jino kwa jino jicho kwa jicho mpaka wote tumalizane na vizazi vyao ndio watuelewa mtu akikudhulumu ardhi usimsamehe lipa kisasi ndio watashika adabu na kuogopa kuiba mali za watu
 
Na ndiyo maana hoja ya majimbo inatakiwa, viongozi wachaguliwe na wananchi ili waweze kuwajibishwa haraka.

Hili la kungojea mamlaka za uteuzi zilizopo Dodoma na Dar es Salaam kuamua masuala ya ardhi iliyopo jijini Mwanza inaleta jeuri kwa wateuliwa.

Lakini kama mkuu wa wilaya au mkoa / jimbo angekuwa amechaguliwa na wananchi na viongozi wengine wakaomba ajira ktk jimbo basi kutimuliwa ingekuwa rahisi bila kusubiri mamlaka za uteuzi za waziri au rais ambaye hajui hata kiwanja hicho kipo wapi na kina umuhimu gani kwa mfano jiji la Mwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…