Uchaguzi 2020 CCM asili tunampa Lissu kura zetu

Nairobian

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
873
Reaction score
2,281
Mimi ni baadhi ya wahanga wa kamati kuu. Ingawa tulishinda kwenye kura za maoni matokeo yake najina yetu yalikatwa. Nilikuwa wa kwanza lakini baadae niliondolewa. Nilipohoji niliambiwa ntapigwa money laundering. Nikaufyata. Ila kwa kweli tuna jambo let tarehe 28 Oktoba.

Tuko wengi. Rafiki yangu ni katibu wa CCM mkoa, naye ana lake jambo 28 October. Yeye alimchangia Lissu laki 5 na mgombea ubunge laki moja. Tunaonekana kijani, lakini mioyoni tuna jambo let. Wana CCM wenzangu, CCM asili, fanyeni kweli tarehe 28 October.

Tugawane mbao na hawa CCM mpya. Kura kwa Lissu
 
Asante, waambie na rafiki zako waliokatwa halafu nao wawaambie ndugu, jamaa, na marafiki zao.

CCM wameishiwa hoja sasa hivi wanapanga kufanya vurugu kila kona, wanajidanganya; Seif huko Znz hataki ujinga tena (amesema kura zitapigwa tarehe 27 & 28 na kawaambia wapeleke vifaru vyao vyote kule).

Nae Lissu siku ya kufunga mkutano Kawe amesema ole wao waliotumwa kufanya vurugu pale uwanjani, watajuta; huu mwaka CCM hawatausahau.
 
Naomba hata ccm mpya tumpe kura, mpebda haki na uhuru wa wote na asiye pendelea.
 
Jambo la msingi sana kuondokana na ccm sasa tuache kubaki nyuma ya ulimwengu watanzania.
 
Mzee Tupa tupa yuko wapi?
 
We mkikukuyu kapambane na ukabila kenya kwanza

Lissu tumempa chalenj akipata kura laki tano yeye ni kidume
Sasa usicho kijua kura zote zinaenda kwake,jiandaeni kwa aibu ya makarne,bora ingekuwa moja ila nyingi.
 
Jambo la msingi sana kuondokana na ccm sasa tuache kubaki nyuma ya ulimwengu watanzania.
Kubaki nyuma ya ulimwengu wa kiliberali sawa lakini nimetoka Paris wiki 2 zimepita wetu wanataka JPM akawafanyizie kazi wakulima wa ngano na wafugaji. Yellow vest wanamhitaji kuliko mnavyodhani. Nyie jifurahisheni lakini mjiandae kisaikolojia
 
Msaliti wa Nchi tumempa chalenj akipata kura laki tano basi rais Magufuli atamteua katibu tarafa
Sasa usicho kijua kura zote zinaenda kwake,jiandaeni kwa aibu ya makarne,bora ingekuwa moja ila nyingi.
 
Kama ni mwanaccm na unataka Lissu ashinde kaanze na hapa πŸ‘‡
 
Umechelewa
Ccm wanafiki wote mmetolewa
Mlizoea kuishi kwa unafiki ndani ya ccm JPM amewakomesha
 
Kama unaweza kupata nyeti kuhusu kura fake, vituo fake vya kupigia kura na chochote kile kingine weka hapa Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…