Uchaguzi 2020 CCM asili tunampa Lissu kura zetu

Nafikiri CCM ita shinda ina mtaji mkubwa vijijini ambako kuna asilimia kubwa ya Watanzania haya ni maoni yangu
 
We mkikukuyu kapambane na ukabila kenya kwanza

Lissu tumempa chalenj akipata kura laki tano yeye ni kidume


Jamaa yangu ata hujishtukii Yani mmebaki Kama watano hapa jamiiforum mnaomtetea diktkta uchwara??

Ata hujishtukii?? Mbona CCM wenzako wamewasusia?? Kuna Siri gani.

Maji tuu mnashindwa kuwapa waTanzania miaka 60? Miaka mi5 iliyobaki ndo ataweza huyoo dikteta??

Ajira holaa
Habari holaa
Mishahara holaa
Upendeleo wa vyeti feki
Myongeza holaa
Mzunguko wa hela holaa(wekeni griss)
Michango ya Tetemeko kula
Nunua ya wabunge
Uwanja chato
Mbuga ya wanyama chato
Ben saa nane poteza
Tundu Lisu risasi
Uhuru holaa


HII NI INCHI AU JEHANAMU.
 
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October

Hakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
 
W Wewe ni mhalifu tu, kama huna kosa kwa nini uogope money laundering?
 
hii imefanywa jehanam. nitamshangaa mtanzania mwenye akili timamu kumpigia kura Magufuli tarehe 28.
 
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October

Hakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania


Wewe utakuwa shoga si bure kila comment lazima uongelee ushoga.
 
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October

Hakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania


Wewe utakuwa shoga si bure kila comment lazima uongelee ushoga.
 
We mkikukuyu kapambane na ukabila kenya kwanza

Lissu tumempa chalenj akipata kura laki tano yeye ni kidume
Yaani wewe sijawahi kuona ukipinga hoja kwa vitendo au kwa point zenye mashiko..... Huyo ni mwana CCM mwenzako,

Mimi sina chama ila ninapoona hoja zako kwenye haya majukwaa huwa nafikiria sana na kujiuliza, wanaokulipa wanakulipa shilling ngapi

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Kuwa makini mkuu. SELIKALI YA KIHUNI INABAMBIKIA WATU MAKESI MENGI SANA IKIWEMO UHUJUMU UCHUMI.

2020 KAZI IPO.
SHETANI ANASHINDANA NA MUNGU.
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Nimeshakiri sina chama, ila umeelewa swali langu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hahaha jina lako linasadifu

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
W
Wewe ni mhalifu tu, kama huna kosa kwa nini uogope money laundering?
Hahahahaha wewe jamaa upo nchi ipi money laundering unakamatwa unawekwa ndani afu kalenda za mahakamani.

Meko akikuchukia tu ujue money laundering inakuhusu.
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
"Vilainishi vya Mashoga vinapatika bure katika Hospitali yetu ya Taifa Muhimbili" namnukuu Wazidi wa Afya Mhe Ummy Mwalimu.
 
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
"Vilainishi vya Mashoga vinapatika bure katika Hospitali yetu ya Taifa Muhimbili" namnukuu Wazidi wa Afya Mhe Ummy Mwalimu.
 
Kwa heshma ya Sheikh wangu Ponda Issa Ponda, sitopiga kura mwaka huu japo roho inaniuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…