CCM bado inao researchers wenye weledi wa kutosha?

CCM bado inao researchers wenye weledi wa kutosha?

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
Sina uhakika kama hiki chama kinachojinasibu kuwa dola kinajitizama ila simple research yangu mitandaoni na mtaani mnaenda down the hill kwa speed ya mwanga hasa huduma kwenye ofice za umma .

Rushwa ,hali ya uchumi wa watu, serikali kurejuvinate kwenye stage ilokwisha kataliwa huko nyuma , in my opinion awamu ya tano ni sensitive issue ya ku handle with care mkicheza nayo kifo cha mende kitawahusu.

Yangu ni hayo katikati ya kumbukumbu hii ya Baba wa Taifa letu pendwa. Kazi iendelee
 
Unaijua cam brother au UNASIKIA tuu
Kuna wakati CCM hibadilika Iowa chama cha upinzani kuna wakati ni chama utawala CCM sio mchezo
 
Mtoa mada nakuunga mkono Sana CCM Ni chama ambacho nakipenda japo siyo mwanachama, CCM kitengo Cha research kimekufa kabisa, sisi tunaoishi huku chini hali Ni Tete Sana ile benchmark iliyowekwa na awamu ya tano Ni concrete benchmark.

Kama mnadhani mko vizuri ki vile kwa kudharau,kubagaza nakufanya mnavyojua nyie,kubeba Mambo ya awamu ya nne ambayo wananchi waliyakataa ,chama hiki jitathmini tenaaaaaaaaaaaaaaa, wagundue wananchi benchmark yako Ni awamu ya tano ndo waliikubali , CCM anzieni hapo,Kama mnao researchers wazuri,lakini Kama mnapofushwa na makofi,na propaganda za "mama anaupiga mwingi" mnajidanganya, chama hiki kitawafia mkononi asubuhi tu.

Hali Ni mbaya mno kwa wananchi, economically, socially nk, source mmekumbatia Sana watu na shabaha za awamu ya nne ambayo Ni awamu ilichafuka Sana kea rushwa na ufisadi ,unaweza kuona Sasa wananchi wanakunja mikono hawana mwelekeo.

Watu hawa watakipiga chini kabisa chama hiki kwakuwa viongozi mmeamua kumega kwa urefu was kamba,ombi Kama mliwahi kuwa na kitengo Cha research na Sasa hakipo , please haraka Sana kirudisheni.leo nakomea hapo,2025 vumbi litatimuka
 
Wanajua mchawi tume. Kwa hiyo nyie hata muipige biti vipi,ikiwa tu time iko vile vile,hawayaogopi matiki yenu kwenda kuwapigia upinzani.

Kwa hiyo kitengo cha research wanajua pia walishindaje na kwenye kila awamu na kila chaguzi zikiwemo za serikali za mitaa.
 
Watanzania bwana, kipindi cha JPM aka awamu ya tano mlikuwa mnalialia mkisema mmemmiss JK na bora awamu ya nne mambo yenu yalienda, sasa awamu ya sita imeamua kuishi kama awamu ya nne mnataka tena awamu ya tano..

Awamu ya nne wengine walisema wanamtaka dikteta maana JK anachekacheka sana, mkaletewa Chuma aka Mwamba wa Chato aka Jiwe mkasema tena hamtaki dikteta...

Ngoka nijiandae kuwa Rais sasa niwe mwamba zaidi ya JPM....hata humu JF mtakuwa hamfiki...itakuwa ni kazi na kulala, kula itakuwa sehemu ya kazi..
 
Kwa
Mtoa mada nakuunga mkono Sana CCM Ni chama ambacho nakipenda japo siyo mwanachama, CCM kitengo Cha research kimekufa kabisa, sisi tunaoishi huku chini hali Ni Tete Sana ile benchmark iliyowekwa na awamu ya tano Ni concrete benchmark.

Kama mnadhani mko vizuri ki vile kwa kudharau,kubagaza nakufanya mnavyojua nyie,kubeba Mambo ya awamu ya nne ambayo wananchi waliyakataa ,chama hiki jitathmini tenaaaaaaaaaaaaaaa, wagundue wananchi benchmark yako Ni awamu ya tano ndo waliikubali , CCM anzieni hapo,Kama mnao researchers wazuri,lakini Kama mnapofushwa na makofi,na propaganda za "mama anaupiga mwingi" mnajidanganya, chama hiki kitawafia mkononi asubuhi tu.

Hali Ni mbaya mno kwa wananchi, economically, socially nk, source mmekumbatia Sana watu na shabaha za awamu ya nne ambayo Ni awamu ilichafuka Sana kea rushwa na ufisadi ,unaweza kuona Sasa wananchi wanakunja mikono hawana mwelekeo.

Watu hawa watakipiga chini kabisa chama hiki kwakuwa viongozi mmeamua kumega kwa urefu was kamba,ombi Kama mliwahi kuwa na kitengo Cha research na Sasa hakipo , please haraka Sana kirudisheni.leo nakomea hapo,2025 vumbi litatimuka
Kwa sasa wao wanawajali zaidi wale watengeneza matusi kwa wale wanaowaona hawawawezi kwa hoja wanazozitoa !! Mambo ya Researchers Tupilia kwa mbali !!! Ari mpya kasi mpya !!
 
Unafahamu hii nchi ina watu takribani milioni 60 na hawawezi kuwa na mawazo ya aina moja wote kama mazombi?

Haya maneno ya kipuuzi huwa yanapenda kusemwa sana na watu wenye vichwa vitupu kama boksi.

Wewe unawasikiliza ndugu zako, mkeo, na mchepuko wasiozidi watu 50 jumla halafu unajumuisha ni Watanzania wote!
Watanzania bwana, kipindi cha JPM aka awamu ya tano mlikuwa mnalialia mkisema mmemmiss JK na bora awamu ya nne mambo yenu yalienda, sasa awamu ya sita imeamua kuishi kama awamu ya nne mnataka tena awamu ya tano..

Awamu ya nne wengine walisema wanamtaka dikteta maana JK anachekacheka sana, mkaletewa Chuma aka Mwamba wa Chato aka Jiwe mkasema tena hamtaki dikteta...

Ngoka nijiandae kuwa Rais sasa niwe mwamba zaidi ya JPM....hata humu JF mtakuwa hamfiki...itakuwa ni kazi na kulala, kula itakuwa sehemu ya kazi..
 
Mtoa mada nakuunga mkono Sana CCM Ni chama ambacho nakipenda japo siyo mwanachama, CCM kitengo Cha research kimekufa kabisa, sisi tunaoishi huku chini hali Ni Tete Sana ile benchmark iliyowekwa na awamu ya tano Ni concrete benchmark.

Kama mnadhani mko vizuri ki vile kwa kudharau,kubagaza nakufanya mnavyojua nyie,kubeba Mambo ya awamu ya nne ambayo wananchi waliyakataa ,chama hiki jitathmini tenaaaaaaaaaaaaaaa, wagundue wananchi benchmark yako Ni awamu ya tano ndo waliikubali , CCM anzieni hapo,Kama mnao researchers wazuri,lakini Kama mnapofushwa na makofi,na propaganda za "mama anaupiga mwingi" mnajidanganya, chama hiki kitawafia mkononi asubuhi tu.

Hali Ni mbaya mno kwa wananchi, economically, socially nk, source mmekumbatia Sana watu na shabaha za awamu ya nne ambayo Ni awamu ilichafuka Sana kea rushwa na ufisadi ,unaweza kuona Sasa wananchi wanakunja mikono hawana mwelekeo.

Watu hawa watakipiga chini kabisa chama hiki kwakuwa viongozi mmeamua kumega kwa urefu was kamba,ombi Kama mliwahi kuwa na kitengo Cha research na Sasa hakipo , please haraka Sana kirudisheni.leo nakomea hapo,2025 vumbi litatimuka
Bro kuna sehemu hii awamu ikilewa sifa za kuupiga mwingi inajaribu kujichomoa kwenye awamu ya tano .facebook ina almost watu mchanganyiko kuna uzi wa kumbagaza mwendazake umetoka jf ukabandikwa fb niliangalia almost 100% ya reaction za watu sikuamini. Nimezunguka so many areas Tanzania watu wana maumivu ,real pain kwa awamu ya tano hii ni obvious so CCM wameshakuwa na vichwa kama enzi ya awamu ya nne na I wish hili sebene liende sambamba na opposition kunotice na kuwahi hii opportunity haki kijani watalilia chooni
 
Mleta mada naona unajisogeza katika uchawa kidogo kidogo. Wahi ufipa ukajiandikishe mapema, wenzio wanavuta buku 5 kwa kila thread ya matapishi kama hii, lengo ni kuifanya serikali inaoekane haifanyi kitu hata kama inafanya mambo makubwa kama hayo hapo chini, na bado mengine mengi yanakuja.



images (50).jpeg


images (49).jpeg


images (52).jpeg


images (37).jpeg


images (35).jpeg


images (38).jpeg
 
Mleta mada naona unajisogeza katika uchawa kidogo kidogo. Wahi ufipa ukajiandikishe mapema, wenzio wanavuta buku 5 kwa kila thread ya matapishi kama hii, lengo ni kuifanya serikali inaoekane haifanyi kitu hata kama inafanya mambo makubwa kama hayo hapo chini, na bado mengine mengi yanakuja.



View attachment 2182388

View attachment 2182389

View attachment 2182390

View attachment 2182391

View attachment 2182399

View attachment 2182400
99% ya hizi miundombinu ni ya tano ,wote tunajua.huwa binafsi nasema reality.ungekuwa na brainy argument ungeichukulia kama wake up call kwani huo ndo ukweli mtaani. The structures will never vote whether you agree or disagree ila hali mtaani ndo kama nilivyosema hata ukijigaragaza kwenye tope mkuu. Kwanza kama we ni ni chawa mtiifu kuliko chawa wote. Washauri waimarishe huduma kwenye public offices kama wananchi walivyozoeshwa, komalieni suala la rushwa kwani linaanza kuota mizizi , chunga ndimi zenu mnapoongea issue inayogusa awamu ya tano, sikiliza kero za watu .otherwise hayo unayopost yanaonekana kama mapambo tu hapa. Sikilizeni watu wanasemaje maana ndo watawapa vote si hizo structure za awamu ilopita mzee baba hazitapanga msitari 2025
 
99% ya hizi miundombinu ni ya tano ,wote tunajua.huwa binafsi nasema reality.ungekuwa na brainy argument ungeichukulia kama wake up call kwani huo ndo ukweli mtaani. The structures will never vote whether you agree or disagree ila hali mtaani ndo kama nilivyosema hata ukijigaragaza kwenye tope mkuu. Kwanza kama we ni ni chawa mtiifu kuliko chawa wote. Washauri waimarishe huduma kwenye public offices kama wananchi walivyozoeshwa, komalieni suala la rushwa kwani linaanza kuota mizizi , chunga ndimi zenu mnapoongea issue inayogusa awamu ya tano, sikiliza kero za watu .otherwise hayo unayopost yanaonekana kama mapambo tu hapa. Sikilizeni watu wanasemaje maana ndo watawapa vote si hizo structure za awamu ilopita mzee baba hazitapanga msitari 2025
Nimegundua ni kwann uzi wako umenyimwa Like hata na chawa wa ufipa. Kwanza wamegundua kuwa wewe unajaribu kujisogeza kwenye uchawa ili uchukue ajira zao, pili wamegundua thread yako uliyoandika ni matapishi matupu ambayo hayajafikia viwango vya kukabidhiwa kadi special ya uchawa na mwisho ukiona umeandika utumbo afu chawa wameupuuza basi juwa wewe ndo unatatizo katika uandishi wako. So unatakiwa uwe unaangalia mambo ya maana ya kuandika na sio kukurupuka na kila tapishi linalokujia kichwani kwako eti kisa ionekane na ww upo upande wa wanaharakati uchwara nk. Kuhusu miradi au uendeshaji wa serikali. Mzee Mwinyi aliwahi kutuambia kuwa kila nabii huja na kitabu chake. Awamu ya tano ilipoingia ilikuta kuna baadhi ya mambo yaliofanywa na awamu ya nne ila yalikuwa hayajamaliziwa au yalimaliziwa ila muda wa kuzindua ulikuwa umekwisha ikabidi awamu ya tano ilipoingia ikayazindua mfano daraja la Nyerere pale kigamboni nk, pia barabara na baadhi ya miradi iliyokuwa haijaisha ikamaliziwa na baadae awamu hiyo ikaanzisha miradi yake. Awamu ya sita na yenyewe ilivyoingia imeanza kwanza na kumalizia miradi ya awamu ya tano ambayo ilikuwa haijaisha na pia kuna miradi mingine kama hiyo ya shule imeanzishwa na awamu ya sita na imefanikiwa kwa kiasi kikubwa. Huu ndio kwanza mwaka mmoja tu madarakani. Kwahiyo ungesubiri serikali hii ifikishe angalau miaka mitatu au minne usipoona kitu ndo utakuja na tapishi lako kututapikia hapa jukwaani. Ila kwa sasa hivi wewe tuliza mshono uwaachie watu wafanye kazi yao ya kuwahudumia wananchi. Kazi ya uchawa ina wenyew kijana sio kuingia tu kichwa kichwa ukifikiri utapokelewa. Unachotakiwa kujua awamu ya kwanza ilikuwa ni ya ccm, ya pili ni ya ccm, ya tatu ya ccm, ya nne ya ccm, ya tano na sita pia za ccm. So tuliza mshono kijana, so wote lao ni moja hamna jinsi ya kuwatenganisha kwa lengo la kujipatia kura.

images (68).jpeg
 
Mtoa mada nakuunga mkono Sana CCM Ni chama ambacho nakipenda japo siyo mwanachama, CCM kitengo Cha research kimekufa kabisa, sisi tunaoishi huku chini hali Ni Tete Sana ile benchmark iliyowekwa na awamu ya tano Ni concrete benchmark.

Kama mnadhani mko vizuri ki vile kwa kudharau,kubagaza nakufanya mnavyojua nyie,kubeba Mambo ya awamu ya nne ambayo wananchi waliyakataa ,chama hiki jitathmini tenaaaaaaaaaaaaaaa, wagundue wananchi benchmark yako Ni awamu ya tano ndo waliikubali , CCM anzieni hapo,Kama mnao researchers wazuri,lakini Kama mnapofushwa na makofi,na propaganda za "mama anaupiga mwingi" mnajidanganya, chama hiki kitawafia mkononi asubuhi tu.

Hali Ni mbaya mno kwa wananchi, economically, socially nk, source mmekumbatia Sana watu na shabaha za awamu ya nne ambayo Ni awamu ilichafuka Sana kea rushwa na ufisadi ,unaweza kuona Sasa wananchi wanakunja mikono hawana mwelekeo.

Watu hawa watakipiga chini kabisa chama hiki kwakuwa viongozi mmeamua kumega kwa urefu was kamba,ombi Kama mliwahi kuwa na kitengo Cha research na Sasa hakipo , please haraka Sana kirudisheni.leo nakomea hapo,2025 vumbi litatimuka
Sikuelewi unaposema benchmark iliwekwa awamu ya 5. Benchmark ya kuua watu? Benchmark ya kipiga watu risasi? Benchmark ya kunyan’ganya watu pesa zao? Benchmark ya uhuni wa kuiba kura? Tuambizaneni ukweli tu. Awamu ya 5 ilikuwa na the worst president this country will ever produce. Wengi wetu tulipoona hatuwezi kundelea hivi tukashindilia magoti chini. Kwa kuwa Mungu ni mwema siku zote akatusikia na akatenda lake jambo March 17, 2021!
 
Nimegundua ni kwann uzi wako umenyimwa Like hata na chawa wa ufipa. Kwanza wamegundua kuwa wewe unajaribu kujisogeza kwenye uchawa ili uchukue ajira zao, pili wamegundua thread yako uliyoandika ni matapishi matupu ambayo hayajafikia viwango vya kukabidhiwa kadi special ya uchawa na mwisho ukiona umeandika utumbo afu chawa wameupuuza basi juwa wewe ndo unatatizo katika uandishi wako. So unatakiwa uwe unaangalia mambo ya maana ya kuandika na sio kukurupuka na kila tapishi linalokujia kichwani kwako eti kisa ionekane na ww upo upande wa wanaharakati uchwara nk. Kuhusu miradi au uendeshaji wa serikali. Mzee Mwinyi aliwahi kutuambia kuwa kila nabii huja na kitabu chake. Awamu ya tano ilipoingia ilikuta kuna baadhi ya mambo yaliofanywa na awamu ya nne ila yalikuwa hayajamaliziwa au yalimaliziwa ila muda wa kuzindua ulikuwa umekwisha ikabidi awamu ya tano ilipoingia ikayazindua mfano daraja la Nyerere pale kigamboni nk, pia barabara na baadhi ya miradi iliyokuwa haijaisha ikamaliziwa na baadae awamu hiyo ikaanzisha miradi yake. Awamu ya sita na yenyewe ilivyoingia imeanza kwanza na kumalizia miradi ya awamu ya tano ambayo ilikuwa haijaisha na pia kuna miradi mingine kama hiyo ya shule imeanzishwa na awamu ya sita na imefanikiwa kwa kiasi kikubwa. Huu ndio kwanza mwaka mmoja tu madarakani. Kwahiyo ungesubiri serikali hii ifikishe angalau miaka mitatu au minne usipoona kitu ndo utakuja na tapishi lako kututapikia hapa jukwaani. Ila kwa sasa hivi wewe tuliza mshono uwaachie watu wafanye kazi yao ya kuwahudumia wananchi. Kazi ya uchawa ina wenyew kijana sio kuingia tu kichwa kichwa ukifikiri utapokelewa. Unachotakiwa kujua awamu ya kwanza ilikuwa ni ya ccm, ya pili ni ya ccm, ya tatu ya ccm, ya nne ya ccm, ya tano na sita pia za ccm. So tuliza mshono kijana, so wote lao ni moja hamna jinsi ya kuwatenganisha kwa lengo la kujipatia kura.

View attachment 2182467
The worst thing una personal issues. Jf forum is for arguing without shouting baby dudumizi. Naona umekuwa chawa hadi dishi limeyumba balaa. I guess we ni mojawapo ya researcher uchwara ulopata ngumi ya mshono kwa uzi huu kwani badala ya kuyumba naona limedondoka kabisa. huko ukiimba iyena tu unakabidhiwa kitengo. I am just a floating object na napenda nchi yangu .ufipa wakizingua nawatandika na huko kwenye mboga nawawasha vile vile. To make it clear sina chama ila I am a true patriot. Mnasherehekea nyerere ila hakuandaa vilaza kama wewe wanaoshambulia idea kwa marungu. I just been to my lovely country . Nimefuatilia mahala Tanesco waniungie umeme its just a shame nilichokiona kuhusu rushwa. Nimesafiri kwa basi ukianza mwanzo wa basi mpaka mwisho ukarecord upuuzi wa rushwa za barabarani utalia. Ok nikaenda kupima covid ili nisafiri wapuuzi kwenye public offices wamerudi kama awamu ya nne vile. During my stay nimesikiliza maoni watu wanasemaje. I heard through my ears arguments za watu kwenye safari, mtaani, na majirani nami nimetoa experience yangu. So sioni nimekosea wapi mzee baba Du -du -mizi japo ningekushauri uwe japo hybrid kwa kujiita dudumtu. If you know about research ingia site utarudi kunishukuru. Uzi wangu umegusa mainly mambo 4

1. Rushwa
2. Uchumi wa watu
3.kuwa careful na kujiassociate awamu ya tano .mtachagua kama in good way ama bad way
4. Huduma office za umma. Sikuona sababu ya kuja na gunia la mitusi bila sababu mmekariri ati kushambulia idea usiyoipenda ndo kulinda chama .upuuzi.

Nakuunga mkono kabisa kila awamu na kitabu ila kuna standards za kulindwa hasa viwango vya rushwa
 
Sikuelewi unaposema benchmark iliwekwa awamu ya 5. Benchmark ya kuua watu? Benchmark ya kipiga watu risasi? Benchmark ya kunyan’ganya watu pesa zao? Benchmark ya uhuni wa kuiba kura? Tuambizaneni ukweli tu. Awamu ya 5 ilikuwa na the worst president this country will ever produce. Wengi wetu tulipoona hatuwezi kundelea hivi tukashindilia magoti chini. Kwa kuwa Mungu ni mwema siku zote akatusikia na akatenda lake jambo March 17, 2021!
Hivi imran kombe aliuliwa na magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,?Hivi Dr.mvungi aliuliwa na magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,?Hivi wafanyabiashara ya madini kule sumbawanga kipindi Cha kamanda zombe na juzi mtwara raisi alikuwa magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,?Hivi mauaji ya mwangosi Raisi alikuwa magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii? professor chachage s.chage Raisi alikuwa magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii? Njoo na hoja nyingine
 
Nimekujibu huko soma
Sikuelewi unaposema benchmark iliwekwa awamu ya 5. Benchmark ya kuua watu? Benchmark ya kipiga watu risasi? Benchmark ya kunyan’ganya watu pesa zao? Benchmark ya uhuni wa kuiba kura? Tuambizaneni ukweli tu. Awamu ya 5 ilikuwa na the worst president this country will ever produce. Wengi wetu tulipoona hatuwezi kundelea hivi tukashindilia magoti chini. Kwa kuwa Mungu ni mwema siku zote akatusikia na akatenda lake jambo March 17, 2021!

Sikuelewi unaposema benchmark iliwekwa awamu ya 5. Benchmark ya kuua watu? Benchmark ya kipiga watu risasi? Benchmark ya kunyan’ganya watu pesa zao? Benchmark ya uhuni wa kuiba kura? Tuambizaneni ukweli tu. Awamu ya 5 ilikuwa na the worst president this country will ever produce. Wengi wetu tulipoona hatuwezi kundelea hivi tukashindilia magoti chini. Kwa kuwa Mungu ni mwema siku zote akatusikia na akatenda lake jambo March 17, 2021!
 
Mauaji ya operation tokomeza nayo yalikuwa kipindi Cha magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii eti eeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom