Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli simjuiNadhani hujamjua vizuri Mwabukusi!
Ni kwel ukimsikiliza mwabukusi ana kitu ndani yake..Huyu jamaa Mwabukusi ana nguvu fulani ya ushawishi nadhani alichelewa kujua kipawa chake.
Huyu ni zaidi ya mwanasiasa he has something big to offer in our country.
CCM sisi tuna miziziKwa mifumo yetu ya upigaji kura za chaguzi,bado sisiemu itaendelea kusumbua.Bro Boni kashinda kwasababu nature ya wapiga kura karibia wote ni elite na ni rahisi kuwa organized kwenye social Media, magroup ya WhatsApp na exposure...... lakini chaguzi za nchi sehemu kubwa matumizi ya social networks ni mdogo,japo on the ground uelewa umeongezeka lakini bado sisiemu inapakutokea kwenye chaguzi.......
Ni kwel ukimsikiliza mwabukusi ana kitu ndani yake..
Anavyo ongea unaona kabisa ana kitu ndani yake
NB.
Tunao kina MWABUKUSI wengi Sana ambao WAMEAMUA KUA/ KUJITENGA na SIASA
Ni rai yangu kwa WATU mbali mbali wenye maono na karama ya uongozi kujitokeza kwa wingi Sanaa kugombea nafasi mbali mbali za uongozi na sio kukaa pembeni na kushushua na kutoa lawama
Mambo haya hayatabiriki sana watu hubadilika kila wakati.Mimi sioni ushawishi wa TLS katika uendeshaji wa nchi yetu. Mwabukusi atamaliza kipindi chake Cha uraisi bila athari ya maana.
Na hila nyingi pia.CCM sisi tuna mizizi
Ni kweli, hasa ikizangatiwa bado watu wanaenda kupoteza muda kwenye chaguzi ambazo wahesabu kura ndio wanaamua mshindi, na sio wingi wa kura. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli.Ndio lengo letu sote japo sioni upinzani wowote makini wa kuchukua nchi hii!!
Nia ya mwandishi ni kuelezea mtizamo mpya na sio umri wa mwambukusi.Mwabukusi ni kijana? Kiaje labda!
Kumbe ishu ni kujulikana........upande wa pili mlishaambiwa kikubwa ni muhesabu kura,,,,kazi imeishaKipindi cha kina lisu na fatma, tls ilijulikana na wachache na hata chaguzi zao zilifwatliwa na watu wachache hasa wa husika, ila sahivi mpka mimi uku ushilo nimefahamu bwana, kumbe inawezekana
Mtatoka tu siku moja.
mjinga kweliUjana na uzee ni state of mind
Mwabukusi ni kijana
Mbowe ni kijana pia
Kijana sio swala la umri .
Katika siasa za jamii, hutokea mtu anayewagusa watu kwa namna anavyojieleza hadharani.Kumbe ishu ni kujulikana........upande wa pili mlishaambiwa kikubwa ni muhesabu kura,,,,kazi imeisha
Hamna cha mizizi zaidi ya mbeleko ya vyombo vya dolaCCM sisi tuna mizizi
Yaani unaambiwa Mwabukusi, wewe unasema Tundu na Fatma! Nini utweza hapa duniani wewe!?Sina nia mbaya ila sion kama hoja yako ina ukwel sana.
Mwabukusi sio wa kwanza kushinda.
Alishashinda Tundu lisu na Fatma Karume, ilileta tofauti gani??
Sizitaki mbichi hizi.Sina nia mbaya ila sion kama hoja yako ina ukwel sana.
Mwabukusi sio wa kwanza kushinda.
Alishashinda Tundu lisu na Fatma Karume, ilileta tofauti gani??
Huwezi amini sijawai kua member wa chama chochote Cha siasa mpaka Sasa.Swadakta 2025 mkuu chukua jimbo
Uzee kwa makaratasi na worldwide una anzia 60+mjinga kweli
ujana ni suala la umri 1st and foremost
uwe na miaka 65+ halafu ujiite kijana?
eti state of mind
Na wanasiasa ndiyo zaidi.Mambo haya hayatabiriki sana watu hubadilika kila wakati.
Mlinganishe na Kinana!Mtu wa kuzaliwa miaka ya 70 ni kijana? Definition ya ujana haijawahi eleweka Tanganyika.