CCM: Chuo cha Dodoma kiitwe JK University

Akili haikuto!sh,jk kalifanyia nn taifa hili?!,kwa kuchekacheka na mafisadi!hana Legacy yyte ya kulifanya taifa lmkumbuke kwa jema hata atakaposepa!yan unamkompare jk na sokoine!shame on u
 

upuuz tupu kwanza chvo kimeigharimu serikal pesa nying tofaut na hadh yake kmejengwa juz tu leo majengo yanavuja......
 
hUO NI UPOPOMPO MIMI NITAHAMA CHUO WA KWANZA! BORA WANGEKIITA HATA CHUO KIKUU CHA TANZANIA:A S cry:
 
mmmh jamani ngoja na mimi mtaa wetu nikaupe jina langu sasa aisee...
 
Ifikie kipindi wawe wanatoa hela zao mfukoni, siyo kutumia kodi za wananchi kujitukuza.
 
Tatizo liko wapi wadau? Hata UDOM ingeitwa Pakashume Univ. hakuna shida. Tusiyumbishwe na majina, cha msingi ni ubora na hadhi ya elimu inayotolewa. Na kama wana CCM wameamua kubadili jina na kuwa JKU its alright. JK anastahili heshima zaidi ya hii, Watanzania tusikubali kugawanywa kwa interests za watu wasioitakia nchi yetu mema.
 
Naunga mkono hicho chuo wangekiita jina la kikwt. Mbona hakuna tatzo lolote mbn hata udsm main kampus kinaitwa nyerere, ishitoshe kikwete kakishuhulikia kinoma
 

Ujenzi wa chuo ,majengo yalivyo mabovu -kiubora .Pia jinsi chuo kinavyoendeshwa na yule K.Ilaza Prof K. ni bora kiitwe Jk ili kureflect udhaifu wa chuo kama mwenyewe alivyo dhaifu.
 
Hata Kenya kwa wenzetu ambao wako mbali Kielimu hawana ''KIBAKI UNIVERSITY'' sasa tumpe JK kwa yapi aliyoyafanya?Yeye abaki na ule Udokta wa heshima tuliompa TU.
 

Nani kakudanganya idea ya UDOM ilianzishwa na Kikwete?
Unasahau pia ujenzi wa UDOM ni michango ya hifadhi za jamii ambapo bado kuna ugomvi mkubwa wa namna ya kuzirudisha?
Utawala wa kikwete hakuna jema kubwa analotakiwa kuenziwa jina lake (Ni ktk utawala wake amani haipotena, Wizi mkubwa wa rasilimali za nchi, Rushwa kubwa zilizokithiri, Ugumu wa maisha, Ufisadi wa mchana kweupeee, Tume lukuki zizokuwa na tija, Kudorora kwa kilimo, Hujima na Ukosefu wa nishati ya umeme) Huyu raisi anastahili akaishi magereza akishamaliza utawala wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…