tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,437
hapo ndio hekima ya CHADEMA inapo-prevail. wao wametumia njia ya amani iliyo ndani ya katiba na kanuni za bunge kupinga matokeo ya urais lakini majinga ya CCM yanataka kufanya maandamano ya kijinga kijinga ambayo chadema hawakuhitaji kiuyafanya! ningeasapoti kama wangeandamana kupinga mfumuko wa bei!