- Mnyonge mnyongeni, katika hizo dharura 18, Lowassa, Msabaha, Karamagi, wameachia ngazi, Yona, Mramba, Mgonja, wameulamba rumande, EPA kiduchu wamefika kwenye sheria, Balali amefukuzwa kazi kwa hiyo mkuu si kweli kwamba hakuna dharura iliyoamuliwa, zipo ila tu bado inaelekea hazijakizdhi mahitaji yako, huu ni uwanja wa Great Thinkers tujifunze kukubali ukweli inapobidi sio uwanja wa kulia lia tu mpaka saa ya kulala na kusubiri kesho kulia lia tuuu!
- Hapa mkuu ni wewe ndiye unayejaribu kutudanganya, dharura zimetokea na kuna dharura ziliaamuliwa huenda hazikuwa kama tunavyoataka ziwe lakini kuna dharura zilizoaamuliwa na JK kwa manufaa ya taifa na tumeziona labda wewe tu hukuziona, na wala sio ajabu sana maana inaeleweka! wote hapa ni watuwazima sema huridhiki na yaliyokwisha amuliwa lakini huwezi kusema hakuna yaliyoamuliwa, that is abig lie!
- Kwani awamu ya kwanza iliyotuwekea muongozo kuna dharura gani iliyoamuliwa zaidi ya kutupeleka kwenye vita vya kumrudisha rafiki na mpaka leo tunalipa madeni ya ajabu sana, I mean hii pathetic leading na hili taifa haikuanza leo mkuu, tulikuwepo sana ilipoanza! It does not matter kwamba tuna utawala uliochaguliwa na wananchi ambao ni dhaifu, kuzijadili events muhimu za siasa zetu ni wajibu wetu, na infact hawa kina JK na Mrema ndio what we have, sasa hatuwezi kufukuza hewa kwa kujadili tusichokuwa nacho!
- Anyways, wakuu wote JF ninataka kuwafahamisha kwamba nimekutwa na udhuru wa ghafla kwa hiyo sitakuwepo kwa muda kuanzia leo usiku, mpaka nitakaporudi ninawatakia heri na mijadala saafi mpaka tutakapokutana tena soon na wembe ule ule na long live JF where we dare!
Respect.
FMEs!