Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sasa mkuu what is your point. Tujadiliane kwa hoja na sio maneno makali.
Je kura ya maoni inasemaje?
Kiranga,Anna Mkapa alizaa mtoto na Basil Mramba kabla ya kuwa na Mkapa, mtoto mkubwa wa Anna anaitwa Peter ni mtoto wa Basil Pesambili Mramba.
Unaweza kusema haya mambo hayana tija kwa taifa, lakini wengine wanaweza kusema ni muhimu kuujua uongozi wetu vizuri, ukimjua mtu familia yake unaweza kujua mengi. Na kiongozi hatakiwi kuwa na siri kuhusu mambo ya kifamilia.
Balatanda,'Mkuu kama watu wana uwezo wa kuongoza na wanakubalika kwa jamii sioni sababu ya kuwanyima ama kuwatenga uongozi eti kwa sababu baba/mama zao walikuwa viongozi
Siyo personal tumeona ndo wanapata uongozi.Tunataka kujua chanzo cha viongozi wetu.je ni hii family tree au ni uwezo wa kuongoza.Kama hayakuhusu ni wewe lakini kwa mambo yanavyokwenda kombo sasa hivi tunadhani hii family tree ndo imekua source ya nchi kushindwa kupata viongozi makini.Kusema kwamba ni family tree ya CCM unakuwa haukitendei haki CCM hata kidogo,hao uliowataja ni wana CCM ambao wanaweza wakaondoka CCM muda wowote(wakiamua),na hata hiyo concept yako yenyewe naona ni moja ya mambo ambayo yako too personal(sijajua ni ipi sababu hasa ya kuihusisha na CCM)...Ni vizuri mambo haya ya kifamilia tukawaachia wanafamilia/wahusika wenyewe badala ya kuyahusisha na CCM..Ya kaizari.......
kwa uchumi na umaskini wetu huu hivi huo uwezo unaupimaje?Mkuu kama watu wana uwezo wa kuongoza na wanakubalika kwa jamii sioni sababu ya kuwanyima ama kuwatenga uongozi eti kwa sababu baba/mama zao walikuwa viongozi
Mkuu B,Mkuu kama watu wana uwezo wa kuongoza na wanakubalika kwa jamii sioni sababu ya kuwanyima ama kuwatenga uongozi eti kwa sababu baba/mama zao walikuwa viongozi