Wewe ndio unamatatizo mzanzibar mrojorojoAJINGA WA CHUO KIKUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio unamatatizo mzanzibar mrojorojoAJINGA WA CHUO KIKUU
Mkataba wa muungano wa 1964 suala la Ardhi halikua la muungano ni nani Aliengiiza Ardhi ya tanganyika kuwa ya muungano ? Na kwa nini Alifanya hivo?Chonde chonde CCM
Msishupaze shingo.
Watanganyika wa Sasa wengi ni form four. Wanaelewa vitu vingi, wanaelewa Nini maana ya Muungano. Wanachambua huku vijiweni hadi tunashituka.
Kero hizi mbili.
1. Ardhi. Kwanini wa Zanzibar wakijua huku wananunua ardhi na wanapewa hati?. Kwanini watanganyika hawawezi kufanya hivyo?
2. Kwa Nini mzazibari anatawala bara na anasimamia mambo yasiyo ya Muungano? Mfano; DC na maafisa Ugani na maafisa afya? Ipo siku wataanza kuzomewa.
Embu jifungieni sehemu; tengenezeni mambo yakae sawa.
Ardhi ni kiwakilishi, kwani ghorofa ya nane kuna ardhi gani ukinunua apartment?Sasa Unguja au Pemba kuna Ardhi ya kugawana?
Unayajua mambo yaliyo ya Muungano na yasiyo ya Muungano? Mkishika Dola ongezeni mnayoona yanafaa. Mtu anatoa hoja kwa kuwa kaisikia kwa fulani, ila haelewi hasa nini anachoongelea.Umepaniki sana.
Kinachotakiwa ni Usawa. Kama Muungano unamambo ya Muungano yabaki ya Muungano, yasio ya Muungano yabaki kuwa sio ya Muungano. Ibaki hivi.
Kwenye uchaguzi wanategemea Magufuli style, hivyo hawajali lolote ni lazima walinde huo muungano wa matambiko.Ni hatari sana.
Na hii itawafanya CCM wapitie kipindi kigumu sana hata kwenye uchaguzi wa mitaa maana ndiko ardhi inauzwa.
Ila hao wachache wanaweza kupata wabunge wengi!Unayajua mambo yaliyo ya Muungano na yasiyo ya Muungano? Mkishika Dola ongezeni mnayoona yanafaa. Mtu anatoa hoja kwa kuwa kaisikia kwa fulani, ila haelewi hasa nini anachoongelea.
Muungani hauwezi kuwa sawa hata mapato hayawezi kuwa sawa, kwa sababu sehemu ya pili ya muungano ni ndogo kwa eneo na kwa idadi ya watu pia. Hivi mnatumia akili au ushabiki.
Ukizielewa hoja inatosha.Unayajua mambo yaliyo ya Muungano na yasiyo ya Muungano? Mkishika Dola ongezeni mnayoona yanafaa. Mtu anatoa hoja kwa kuwa kaisikia kwa fulani, ila haelewi hasa nini anachoongelea.
Muungani hauwezi kuwa sawa hata mapato hayawezi kuwa sawa, kwa sababu sehemu ya pili ya muungano ni ndogo kwa eneo na kwa idadi ya watu pia. Hivi mnatumia akili au ushabiki.
Short, clear, and to the point promptly! GT!Mbona hiyo restriction hamjaiweka mafia au ukerewe acha upompoma wewe mja laana.
Umepaniki sana.
Kinachotakiwa ni Usawa. Kama Muungano unamambo ya Muungano yabaki ya Muungano, yasio ya Muungano yabaki kuwa sio ya Muungano. Ibaki hivi.
Huwa nakuona mtu fulani hivi wa maana sana humu kumbe ndo kiazi hivi ulivyoSasa Unguja au Pemba kuna Ardhi ya kugawana?
CCM bora iliyokuwa inabadilika ni ile ya Nyerere ya sasa ni CCM maslahi ni vigumu kubadilika wana uhafidhina wa ajabu ila iko siku wataidumbukiza nchi kwenye shida. They are not pro activeShida ya CCM haibadiliki imekaa kama jiwe
Tanganyika siyo jina ila ni ardhi, ipo tangu zama hizo na wenye ardhi yao (Watanganyika) wanazaliwa kila leo.acha upotoshaji,
eti watanganyika? wana umri gani kwa mfano huyo alie maliza form four [emoji205]
ni ngumu mno waTanganyika kuwaelekeza chochote waTanzania kuhusu Muungano [emoji205]
kwamba asiejua chochote kuhusu Tanganyika ati ana uchungu sana kuhusu hiyo Tanganyika asieijua bali ameifahamu kwa uchache sana kwenye historia ya vitabuni?[emoji205]
kwamba g.ulimwengu na warioba wachange mindset za vijana wazaliwa wa Tanzania wadai Tanganyika wasiyo ijua kweli, dah [emoji205]
watakua wamechagua kazi ngumu mno na wala haiwezekani hata nukta moja [emoji205]
Uchawa ukizidi unakuwa ujinga.Wewe ulitaka ardhi Zanzibar? Uifanyie nini, hauwezi kulima, kipi hasa ulikosa katika ardhi ya bara, kilichopo huko sio kwa ukubwa, ubora, na thamani.
Hiyo ardhi ukichukua matajiri 10 tu kutoka bara wanaimaliza, bado wewe hutoambulia kitu.
Wewe ulitaka upewe uongozi wa kisiasa huko Zanzibar, yani hizo hoja unatoa ni kipi ulitaka ukakikosa.
Unapokuwa na lalamiko kuna kitu kimekosekana au kimeshindikana, ni nini hiko au unasikiliza wanasiasa?
Kama ni wanasiasa ninyi CHADEMA tangazeni sera yenu kuwa mkipata madaraka mtaruhusu hayo mnayosema, wananchi wanaowaunga mkono watawasapoti.
Hii si hoja hata kidogo.Sasa Unguja au Pemba kuna Ardhi ya kugawana?
WAONDOE KIKOKOTOO,MENGINE BAADAEChonde chonde CCM
Msishupaze shingo.
Watanganyika wa Sasa wengi ni form four. Wanaelewa vitu vingi, wanaelewa Nini maana ya Muungano. Wanachambua huku vijiweni hadi tunashituka.
Kero hizi mbili.
1. Ardhi. Kwanini wa Zanzibar wakijua huku wananunua ardhi na wanapewa hati?. Kwanini watanganyika hawawezi kufanya hivyo?
2. Kwa Nini mzazibari anatawala bara na anasimamia mambo yasiyo ya Muungano? Mfano; DC na maafisa Ugani na maafisa afya? Ipo siku wataanza kuzomewa.
Embu jifungieni sehemu; tengenezeni mambo yakae sawa.
Acha upotoshajiTanganyika siyo jina ila ni ardhi, ipo tangu zama hizo na wenye ardhi yao (Watanganyika) wanazaliwa kila leo.

Huna hoja na unajiita Kanali, hakuna Kanali asiye na akili.Uchawa ukizidi unakuwa ujinga.
Wewe ulitaka nini ikashindikana au na wewe umekaa nyumbani unaangalia clip za wanasiasa na kuitikiaUkizielewa hoja inatosha.
Kwani waliungana ili wake wapate faida?
Haki haipimwi kwa wingi ama idadi.
Kama watu wao wanakuja huku na kununua ardhi, kwanini na sisi tusinunue ardhi? Kuna visiwa vingi tu a sio Zanzibar peke ake ila tunanunua ardhi na kukaa. Iweje wao wawe na hoja mfu?
Kwetu waje watawale, kwao kwenda kutawala haiwezekani? Shida Iko wapi?
sijaona jibu la hoja, nini kimekosekana au kushindikana au na wewe unadandia hoja za wanasiasa.Ila hao wachache wanaweza kupata wabunge wengi!
Siyo swala la ardhi ya kugawana, ni swala la kuwepo na kizuizi bayana kikibagua watu.Sasa Unguja au Pemba kuna Ardhi ya kugawana?