Sema mkuu, hata wazito wa kuelewa mwishowe wataelewa tu..Ardhi ni kiwakilishi, kwani ghorofa ya nane kuna ardhi gani ukinunua apartment?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema mkuu, hata wazito wa kuelewa mwishowe wataelewa tu..Ardhi ni kiwakilishi, kwani ghorofa ya nane kuna ardhi gani ukinunua apartment?
"Utumie akili" kwa kuvunja sheria za nchi; siku wakiamua kuzitekeleza hizo sheria utasemaje!sijaona jibu la hoja, nini kimekosekana au kushindikana au na wewe unadandia hoja za wanasiasa.
Hebu tutumie akili ya kawaida tu ya kuzaliwa.
CCM hawategemei kura yako bali polisi na usalamaNi hatari sana.
Na hii itawafanya CCM wapitie kipindi kigumu sana hata kwenye uchaguzi wa mitaa maana ndiko ardhi inauzwa.
Yule Diwani wembe aliyemdhalilisha Shukuru kule Bagamoyo, si anapeleka Mchanga UngujaIpo ya kumwaga, ni akili tu ndio zinazotakiwa kuchakatwa. Kama ardhi haipo, hao wa huko wanaishije? Investements za mahotelini zinafanyikaje bila ujenzi na hao wajenzi wanajenga wapi?
Zanzibar ni kisiwa kama Maldives na huko maldives huwezi sikiwa wanasema haya mambo ya kutokuwa na ardhi ya kutosha. Wao kila siku ni kupigania land reclamation na kununua udongo kutoka sehemu mbalimbali duniani. Hata Zanzibar wanaweza na hii kauli kwamba haina ardhi ya kutosha imekuwa ni utopolo wa kutokea hapo.
Ndio fursa za Muungano kumbe…wakiuvunja tu, Biashara za watu Nazo basi kumbe ndio maana wanaungangania bila kutatua changamoto zake…Muungano ni Biashara/deal za watu…Yule Diwani wembe aliyemdhalilisha Shukuru kule Bagamoyo, si anapeleka Mchanga Unguja
Sheria ipi imevunjwa? Ukiitaja nitaona ndugu unazo common sense."Utumie akili" kwa kuvunja sheria za nchi; siku wakiamua kuzitekeleza hizo sheria utasemaje!
Ya kutoruhusu watu toka Tanganyika kumiriki ardhi visiwani; iliyopitishwa na Baraza la Wawakilishi.Sheria ipi imevunjwa? Ukiitaja nitaona ndugu unazo common sense.