BUMIJA MOSES
Member
- Aug 27, 2020
- 75
- 85
Waswahili walinena "Ukiona moshi unafukuta, elewa hapo kuna moto ukaribia kuwaka. sisi wengine kazi yetu itakuwa kudokoa macho hasa kuanzia mwaka 2022, kwenye uchanguzi wa ndani wa CCMTunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Mara PAAPUUUUU mama anajitokeza na kusema ni kweli hana nia ya kugombea kwa sababu for 05 years alikuwa makamu na mgombea mwenza, na hii mi 5 alikuwa mgombea mwenza so anaona hakuna haja maana yeye na Dkt Magufuli ni kitu kimojaTunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Huyo ni one term president,hakuna lingineTunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Ndiyo maana wengine tukasema ile mapema tu kwamba hapo tumepigwa si kidogo. Wengine vipofu wakadai apewe muda.Ila kweli Rais ni mweupe sana... Kuna taarifa nyingi sana nafikiri hazimfikii inavyostahili.
Mkuu mwenye gazeti na gazeti lenyewe hawajawahi kuwa serious si tu kwa haya ya magazetini bali hata kuwapatia FURAHA wa TZKama kweli wapo serious, WALIFUNGIE
Tumeshasema mara nyingi hapa... MATAGA hawako pamoja na Mama..Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Ni kweli maana Rais alisema hakuwa na wazo la kuwa Rais siku moja ila wenyewe wameweka maneno yao.Hao ni wahuni Wana malengo yao.
Hakika muda bado anaoKwakweli anatia huruma, lakini muda bado anao wa kurekebisha makosa au ndio kajambia maji mazima?
Mambo ni mengi sana mkuuKwamba hao mawaziri ndio wanamhujumu?
Upi msimamo wako katika hili Jo?Hii barua ina mapengo mengi.
Hajasema maneno gani?!
Taarifa rasmi kwa Umma ni lazima iandaliwe kwa weledi.