Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafute pa kuanzia" GAZETI LA UHURU LINAMILIKIWA NA NINI?Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Kwahiyo unakubali kuna mgogoro.Acheni ramli chonganishi, CCM huwa wanajua kushughulikia mambo yao ya ndani kwa weledi mkubwa! Kuna migogoro ilishaibuka huko mikubwa mnoo, ikatulizwa, mojawapo ni ule mgogoro wa 2015 ambao mwishowe waliwatupia takataka lao huko kwenu mkalimeza mazima, likawamaliza nyinyi. Hamna mgogoro CCM kwa sasa.
Acha kukurupuka. Gazeti lipo sahihi linatoa ujumbe mujarabuLaana inawatafuna hawa watu.
Ndiyo.Hii habari ingeandikwa na Tanzania daima leo leo waziri angelifungia kwa muda usiojulikana
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Siyo uzembe ..... Ni mpangoa wa watu. Hapo wanatest kina cha maji kwanza.Kweli mke wa mtu anaweza kuwa mchepuko wa mwanaume mwingine. Uhuru hawakupaswa kufanya uzembe huu wa kiuandishi, unless kama wanatumikia maslahi ya kundi tofauti na rais ndani ya chama.
Nenda kwenye page ya bbc swahiliKwani yeye amesemaje? Kwa faida ya ambao hatujasikiliza mahojiano.....
Inaitwa the enemy withinTunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Sasa kwanini Shaka hakuweka alichosema rais?Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Hii barua ina mapengo mengi.Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Nchi haina kiongozi inamtawalaHii nchi ni kama mwili alafu kichwa kina C. Meningitis tumepagawa tumefarakana si CCM /CDM wala serikali yani hatujui tunafanya nini