CCM: Gazeti la Uhuru limepotosha; Rais Samia hakusema kuwa hatogombea 2025

CCM: Gazeti la Uhuru limepotosha; Rais Samia hakusema kuwa hatogombea 2025

walipomwambia avunje baraza la mawaziri aanze upya na lakwake si alijitia mjanja? shauri yake
Anaongoza mawaziri/wakuu wa taasisi kubwa ambao hawajala kiapo kwake
Madhara yake ni haya
Nakumbuka alishauliwa sana akajiona much know
 
Mibavicha ndio haimtaki! Tena haimtaki kuanzia hapa juzi ila toka aapishwe mibavicha yote ilikuwa ndio kipenzi chao
Inawezekana walikuwa wanamvimbisha kichwa sasa mgema kalitia maji.
 
Huu mnyukano ni mkali sana. Mama awe makini sana ndani ya chama hawamtaki 2025. Ajiandaee kisaikolojia.
Hata Magu mlisema hawamtaki 2020.

Yani nyie huwa mnaifananisha ccm na hivyo vikundi vyenu vya akina Mbowe,
 
Anaongoza mawaziri/wakuu wa taasisi kubwa ambao hawajala kiapo kwake
Madhara yake ni haya
Nakumbuka alishauliwa sana akajiona much know
Nilishauri kuwa;

 
Hakuna shida hapo, kupumzika ni Jambo la kheri kabisa, 4 years, it's a record....vitimbwi vimetosha
 
Mahojiano yake hayana quality, vijembe na upotoshwaji , eti makato ya pesa zetu tumekubali, mikutano ya ndani haina shida...... Jamani Pana makubwa yanaendelea
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumatano kimesikitishwa na habari ya “upotosha mkubwa uliofanywa na Gazeti la Uhuru” kwa kumlisha maneno Rais @SuluhuSamia. kimesema kitachukua hatua kali kwa waliohusika. Gazeti la Uhuru linamilikiwa na Chama Cha Mapindizi.

20210811_122159.jpg


IMG_20210811_112214_958.jpg
 
Siyo kwamba walikuwa wanamvimbisha kichwa bali ndio uhalisia wenu!

Huwa mnacheza ngoma wanayopiga ccm kila siku
Kwahiyo kuhujumiana ndilo toleo jipya la ngoma ya CCM, basi acha tuicheze hadi mwisho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mnataka kuaminisha uma kwamba kuna watu wana mhujumu mama.

Mwanzo mlifikiri hata kukamatwa kwa Mbowe ni hujuma ndani ya chama ila juzi mwenyewe kakiri anajua kila kitu!

Kivuli cha Magu bado kinawatandika. Yani hata baada ya Magu kufariki bado mnafikiri kushindwa kwenu ni kwa sababu yake.

Hao watu wanaomhujumu muwe mnawataja kwa majina na kwa vipi wanamhujumu
Wewe unamuhujumu huyu mama
 
Back
Top Bottom