Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahaha Adam kaamua kumkaanga HawaTunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
🖕🖕😃😃😃😃 Necheka mpaka nimetokwa na machozi.Yaani ningeshangaa madam aliwapiga pin mawaziri kusaka Urais afu eti aseme asigombee.Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
Mama shituka mapema you will thank me later.
View attachment 1888095
PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
Ni lijoka lenye vichwa saba, limeshindikana. Kilitabiriwa kufa since 1992, leo miaka 29 mbele kinazidi kupaa. Leo hii CDM na mbwembwe zao zote wana mbunge mmoja (sijui hata kama bado anavaa jezi za CDM), madiwani hawazidi 5 and hawana mwenyekiti wa serikali ya mtaa hata mmoja. Badala wahangaike kujenga chama chao wao wanarukia propaganda za CCM kuwatoa kwenye reli.Hawajui CCM ni taasisi siyo individuals kama ilivyo kwingine
Ni kweli maana Rais alisema hakuwa na wazo la kuwa Rais siku moja ila wenyewe wameweka maneno yao.Hao ni wahuni Wana malengo yao.Uhuru ndo kusema wameponyokwa na maneno?
Magu aliingia bila kuwa na watu wake chamani na yeye ndo awapasue wote wasio wake apange safu yake vinginevyo atapata tabu Sana.Huu ndio ushahidi huyu mama anahujumiwa. Huu ni ushahidi kuwa hata ndani ya CCM ana upinzani mkali
Asiposhtuka itakula kwake mazima
Jinsi kete anavyozicheza yule jamaa uongo zambi anajua kusoma hali ya uwanja sio siri.Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.
...
Kuna shida gani huko CCM?Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama...
Mkuu mimi si mumini wa vyama, ila tuzungumze ukweli, hivi unaweza kujivunia hawa wabunge walioingia bungeni kwa kila hila mbaya. Hivi hata maamuzi yao huyaoni kwa jinsi yasivyobeba matakwa ya wananchi?Ni lijoka lenye vichwa saba, limeshindikana. Kilitabiriwa kufa since 1992, leo miaka 29 mbele kinazidi kupaa. Leo hii CDM na mbwembwe zao zote wana mbunge mmoja (sijui hata kama bado anavaa jezi za CHADEMA), madiwani hawazidi 5 and hawana mwenyekiti wa serikali ya mtaa hata mmoja. Badala wahangaike kujenga chama chao wao wanarukia propaganda za CCM kuwatoa kwenye reli.
Wakati hayo yanafanyika hao CDM wanaojikweza kila siku wana nguvu ya umma walikuwa wapi na huo umma wao?Mkuu mimi si mumini wa vyama, ila tuzungumze ukweli, hivi unaweza kujivunia hawa wabunge walioingia bungeni kwa kila hila mbaya. Hivi hata maamuzi yao huyaoni kwa jinsi yasivyobeba matakwa ya wananchi?
Hakukuwa na haja ya kutoa hili tamko ili, mosi gazeti ni lenu wenyewe, pili hakuna mtu anasomaga gazeti la uhurusiku hizi mie kwanza sikujua kama bado linatolewa. Kwa tamko lenu ndio sasa watu wengi tumejua kuwa kuna gazeti la uhuru na limeandika nini.Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama...