CCM Gwajima ni Manara wa Kisiasa aliyeko Kwenu, ila ana Mapenzi ya dhati huko UPINZANI endeleeni Kumlea ili aje Kuwachafua na Kuwavuruga zaidi

CCM Gwajima ni Manara wa Kisiasa aliyeko Kwenu, ila ana Mapenzi ya dhati huko UPINZANI endeleeni Kumlea ili aje Kuwachafua na Kuwavuruga zaidi

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Rais Samia na Mwenyekiti Taifa CCM endelea tu Kumlea Askofu Gwajima ( Manara wa Kisiasa ) ili awachafue na awavurugeni vizuri.

Na nikusaidie tu Rais Samia kuwa Askofu Gwajima Wala hakupendi na hakukubali na hizo Sifa anazokupa ni za Kinafiki na anakudharau mno.

Kama kuna Sumu kubwa, mbaya na ya Hatari ambayo CCM yako si tu mmeilea bali pia mmeikumbatia ni ya Kumuamini na kukubali Askofu Gwajima awe Mbunge na mwana CCM wakati wanaomjua wanajua kuwa hajawahi na siyo mwana CCM Moyoni na Rohoni pia.

Kitendo tu cha kusema kuwa kuna Viongozi wakubwa nchini Wamehongwa juu ya Chanjo ya UVIKO-19 akimaanisha Wewe Rais Samia na Waziri Gwajima kilitosha Kumfukuza CCM na hata Kuamuru akamatwe kwani Kauli yake ni ya kuhatarisha Usalama wa nchi ila bado mnamlea tu.

Rais Samia kuwa Ngangari wasikuzoee Mama. Hayati alikuwa ana Msimamo na tulimpenda kwa hiyo tabia na alitunyoosha vile vile hadi wengine sasa tumeshika Adabu zetu na tunajua kuishi Kiuhalisia tofauti na hapo awali ambapo tuliishi Kiujanja Ujanja ( Kipanjuani Panjuani ) tu.

Rais Samia toa Demo moja tu uogopwe.
 
Ishafahamika kuwa anaandaliwa kuja kugombea uraisi mwaka 2025 kupitia Chadema. kumbuka Chadema huwa inashinda viti vingi vya ubunge, na udiwani kutokana na juhudi za mgombea anaetokea CCM. Kwahiyo usikauke koo lako bure, muda ukifika atakuja tu kama alivyokuja mzee Lowasa. Hakika wapinzani ni sikio la kufa.
 
Rais Samia na Mwenyekiti Taifa CCM endelea tu Kumlea Askofu Gwajima ( Manara wa Kisiasa ) ili awachafue na awavurugeni vizuri.

Na nikusaidie tu Rais Samia kuwa Askofu Gwajima Wala hakupendi na hakukubali na hizo Sifa anazokupa ni za Kinafiki na anakudharau mno.

Kama kuna Sumu kubwa, mbaya na ya Hatari ambayo CCM yako si tu mmeilea bali pia mmeikumbatia ni ya Kumuamini na kukubali Askofu Gwajima awe Mbunge na mwana CCM wakati wanaomjua wanajua kuwa hajawahi na siyo mwana CCM Moyoni na Rohoni pia.

Kitendo tu cha kusema kuwa kuna Viongozi wakubwa nchini Wamehongwa juu ya Chanjo ya UVIKO-19 akimaanisha Wewe Rais Samia na Waziri Gwajima kilitosha Kumfukuza CCM na hata Kuamuru akamatwe kwani Kauli yake ni ya kuhatarisha Usalama wa nchi ila bado mnamlea tu.

Rais Samia kuwa Ngangari wasikuzoee Mama. Hayati alikuwa ana Msimamo na tulimpenda kwa hiyo tabia na alitunyoosha vile vile hadi wengine sasa tumeshika Adabu zetu na tunajua kuishi Kiuhalisia tofauti na hapo awali ambapo tuliishi Kiujanja Ujanja ( Kipanjuani Panjuani ) tu.

Rais Samia toa Demo moja tu uogopwe.
Exactly, Gwajima katika mahubiri yake ni dhahiri Kuna jinai ndani yake, tena jinai kubwa ambazo hastahili kupewa hata dhamana,
 
Rais Samia na Mwenyekiti Taifa CCM endelea tu Kumlea Askofu Gwajima ( Manara wa Kisiasa ) ili awachafue na awavurugeni vizuri.

Na nikusaidie tu Rais Samia kuwa Askofu Gwajima Wala hakupendi na hakukubali na hizo Sifa anazokupa ni za Kinafiki na anakudharau mno.

Kama kuna Sumu kubwa, mbaya na ya Hatari ambayo CCM yako si tu mmeilea bali pia mmeikumbatia ni ya Kumuamini na kukubali Askofu Gwajima awe Mbunge na mwana CCM wakati wanaomjua wanajua kuwa hajawahi na siyo mwana CCM Moyoni na Rohoni pia.

Kitendo tu cha kusema kuwa kuna Viongozi wakubwa nchini Wamehongwa juu ya Chanjo ya UVIKO-19 akimaanisha Wewe Rais Samia na Waziri Gwajima kilitosha Kumfukuza CCM na hata Kuamuru akamatwe kwani Kauli yake ni ya kuhatarisha Usalama wa nchi ila bado mnamlea tu.

Rais Samia kuwa Ngangari wasikuzoee Mama. Hayati alikuwa ana Msimamo na tulimpenda kwa hiyo tabia na alitunyoosha vile vile hadi wengine sasa tumeshika Adabu zetu na tunajua kuishi Kiuhalisia tofauti na hapo awali ambapo tuliishi Kiujanja Ujanja ( Kipanjuani Panjuani ) tu.

Rais Samia toa Demo moja tu uogopwe.
Unaongea baada ya kusikiliza bunge?
 
Back
Top Bottom