Kama nilishawahi kusoma propaganda za kipuuzi hapa JF ...hii post inaweza kuwa namba moja.....na mtu yeyote anayeandika upuuzi basi naye huwa mpuuzi ,ufahamu wake nao huwa wa kipuuzi na akili zake pia huwa za kipuuzi....na kama katumwa na waliomtuma nao ni wapuuzi wakubwaWananchi wanafanya tathimini ya chama kilichopo madarakani kimewafanyia nini, kisha wanatoa majibu...
Kwanini ahangaike na kampeni sasaMkuu ni vile tu Rais Magufuli anatoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi.
Ila hata angekaa ofisini ushindi ni 98%.
Ndo mjiulize vizuri! Kama Chadema si lolote si chochote kwa nini mnatumia fedha nyingi, polisi, NEC kupambana nacho? Si mlisema kimekufa? Sasa shida ni nini?
Kabisa ushindi ni wa uhakika refa kachaguliwa na mgombea wa Ccm wasimamizi pia ni makada wa CCM. Timu nyingine zimezuiwa kufanya mazoezi ya kujiandaa na mechi. Sham electionUshindi wa CCM una uhakika. Kinachofanyika sasa ni kutafuta ushindi wa kishindo cha kihistoria.
Hapana kwa kweli ni wazi Lissu amewabananisha kwenye kona ya kitanda hadi mmepiga magoti kuomba pooo 🤣Kupiga magoti ni utamaduni wa watu wa Njombe kuonyesha unyenyekevu.
Alafu tumia akili nani amenipa buku 7?
Ahaaa,tofautisha propganda na ukweli. Yaaani hii Chadema ndio ilikuwa ya kushughulikiwa hivi?Kama nilishawahi kusoma propaganda za kipuuzi hapa JF ...hii post inaweza kuwa namba moja.....na mtu yeyote anayeandika upuuzi basi naye huwa mpuuzi ,ufahamu wake nao huwa wa kipuuzi na akili zake pia huwa za kipuuzi....na kama katumwa na waliomtuma nao ni wapuuzi wakubwa
Katika upimaji huo mnaondoshwa peeked na maneno Uhuru,haki na maendeleo ,achilia mbali mengine mengi mliyo vurunda.Wananchi wanafanya tathmini ya chama kilichopo madarakani kimewafanyia nini, kisha wanatoa majibu.
Wananchi wanafanya tathmini ya chama kinachoomba ridhaa ya kukamata Dola, je kina uwezo huo? Kisha wanatoa majibu.
Kwa maoni yangu, CHADEMA ilishadharauliwa na wananchi kwa kuwa na itikadi ya kupinga maendeleo ya wananchi, wao wanapinga kila kitu, mfano kwa wakazi wa ziwa Nyasa nani atachagua mgombea wa CHADEMA ambae ujenzi wa meli mbili za abiria na mizigo umekuja kuwa mkombozi kwa watu wa eneo hilo?
Kutumia nguvu nyingi na kutumia pesa nyingi kupambana na chama ambacho hakina sifa ya kutawala na kuwaletea maendeleo wananchi ni sawa na kumuua Ngedere kwa SMG.
Kama chama kinakuwa na viongozi ambao walikuwa wanatafuna ruzuku kama vile pesa zao, wakati ni mali ya umma. Je, kulikuwa na haja ya kupambana nacho kwa nguvu kama inayotumika sasa? Hawa walitakiwa waachiwe makatibu wa Ccm wa kata wapambane nao kuliko kutumia nguvu kama ilivyofanyika.
View attachment 1589746
Swali gani hili? Nigga pls.Swali gani hili? Kama amedanganywa kwenye makaratasi utasema yupo sawa!
Kweli ushindi wa kishindo na kihistoria! Na Yale magoti anayopiga kwenye majukwaa ni ya kuomba msaada wa pesa?Mkuu ni vile tu Rais Magufuli anatoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi.
Ila hata angekaa ofisini ushindi ni 98%.
Tutawashinda ccm pasipokuwa na fedha wala ofisi zozote.Wananchi wanafanya tathmini ya chama kilichopo madarakani kimewafanyia nini, kisha wanatoa majibu.
Wananchi wanafanya tathmini ya chama kinachoomba ridhaa ya kukamata Dola, je kina uwezo huo? Kisha wanatoa majibu.
Kwa maoni yangu, CHADEMA ilishadharauliwa na wananchi kwa kuwa na itikadi ya kupinga maendeleo ya wananchi, wao wanapinga kila kitu, mfano kwa wakazi wa ziwa Nyasa nani atachagua mgombea wa CHADEMA ambae ujenzi wa meli mbili za abiria na mizigo umekuja kuwa mkombozi kwa watu wa eneo hilo?
Kutumia nguvu nyingi na kutumia pesa nyingi kupambana na chama ambacho hakina sifa ya kutawala na kuwaletea maendeleo wananchi ni sawa na kumuua Ngedere kwa SMG.
Kama chama kinakuwa na viongozi ambao walikuwa wanatafuna ruzuku kama vile pesa zao, wakati ni mali ya umma. Je, kulikuwa na haja ya kupambana nacho kwa nguvu kama inayotumika sasa? Hawa walitakiwa waachiwe makatibu wa Ccm wa kata wapambane nao kuliko kutumia nguvu kama ilivyofanyika.
View attachment 1589746
Tutawashinda ccm chini ya miti na kwa miguu peku yetu.Kauli ya mtu aliyekata tamaa.
Ccm inashindana na wananchi na sio chadema pekee. Kumbuka ilipewa ridhaa miaka yote lakini mpaka leo bado inarudi kwa kulialia kwa wananchi waliowapa nafasi. Huo ni utoto na watu wameshapevuka.Wananchi wanafanya tathmini ya chama kilichopo madarakani kimewafanyia nini, kisha wanatoa majibu.
Wananchi wanafanya tathmini ya chama kinachoomba ridhaa ya kukamata Dola, je kina uwezo huo? Kisha wanatoa majibu.
Kwa maoni yangu, CHADEMA ilishadharauliwa na wananchi kwa kuwa na itikadi ya kupinga maendeleo ya wananchi, wao wanapinga kila kitu, mfano kwa wakazi wa ziwa Nyasa nani atachagua mgombea wa CHADEMA ambae ujenzi wa meli mbili za abiria na mizigo umekuja kuwa mkombozi kwa watu wa eneo hilo?
Kutumia nguvu nyingi na kutumia pesa nyingi kupambana na chama ambacho hakina sifa ya kutawala na kuwaletea maendeleo wananchi ni sawa na kumuua Ngedere kwa SMG.
Kama chama kinakuwa na viongozi ambao walikuwa wanatafuna ruzuku kama vile pesa zao, wakati ni mali ya umma. Je, kulikuwa na haja ya kupambana nacho kwa nguvu kama inayotumika sasa? Hawa walitakiwa waachiwe makatibu wa Ccm wa kata wapambane nao kuliko kutumia nguvu kama ilivyofanyika.
View attachment 1589746
Hapo najua hata wewe unatamani kunitafuta,kiss nankfaitiana na wewe kimtazamo.Kama uhuru na haki, ungepata nafasi ya kuchangia humu?