Uchaguzi 2020 CCM haikupaswa kutumia nguvu nyingi kupambana na CHADEMA

Uchaguzi 2020 CCM haikupaswa kutumia nguvu nyingi kupambana na CHADEMA

Punguza shobo kwa wanasiasa
Fanya kazi mkuu
Wale wapo kazini
Familia yako itafaidika na Nini magu akipata urais?
Mwisho wa siku watakupiga p***bu nyuma.
Kama wewe na mama yako mnvyopigwa.

Mimi nafaidik na maendeleo yanayoletwa.
 
Kwa iyo kumbe taasisi nzima ya CAG inadanganywa na makaratasi tu alafu wewe zumbukuku wa Lumumba ndo una ushahidi wote??
Aliyekuwa mjumbe wa Cc,alitoa siri nzito ambayo mpuuzi kama wewe huwezi kuifahamu.
 
Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania tumchagua kwa kishindo 98%
Hao wa kusombwa na matrekta na malori ya vifusi au wananchi wepi wengine?
Au hao anaowalazimisha kwenda kwenye fiesta? Tafuta video ya Jana akiwa Zanzibar uione Kama hujamkataa!
 
Wananchi wanafanya tathmini ya chama kilichopo madarakani kimewafanyia nini, kisha wanatoa majibu.

Wananchi wanafanya tathmini ya chama kinachoomba ridhaa ya kukamata Dola, je kina uwezo huo? Kisha wanatoa majibu.

Kwa maoni yangu, CHADEMA ilishadharauliwa na wananchi kwa kuwa na itikadi ya kupinga maendeleo ya wananchi, wao wanapinga kila kitu, mfano kwa wakazi wa ziwa Nyasa nani atachagua mgombea wa CHADEMA ambae ujenzi wa meli mbili za abiria na mizigo umekuja kuwa mkombozi kwa watu wa eneo hilo?

Kutumia nguvu nyingi na kutumia pesa nyingi kupambana na chama ambacho hakina sifa ya kutawala na kuwaletea maendeleo wananchi ni sawa na kumuua Ngedere kwa SMG.

Kama chama kinakuwa na viongozi ambao walikuwa wanatafuna ruzuku kama vile pesa zao, wakati ni mali ya umma. Je, kulikuwa na haja ya kupambana nacho kwa nguvu kama inayotumika sasa? Hawa walitakiwa waachiwe makatibu wa Ccm wa kata wapambane nao kuliko kutumia nguvu kama ilivyofanyika.


Kwa akili yako unafikiri wanaotumia pesa nyingi kupambana na chadema ni wajinga? Wamefanya tathmini ya kutosha na kuona mziki wa chadema si wa kitoto
 
Kwa akili yako unafikiri wanaotumia pesa nyingi kupambana na chadema ni wajinga? Wamefanya tathmini ya kutosha na kuona mziki wa chadema si wa kitoto
Sio kweli, hata mikutano ya wabunge na madiwani haifanyiki,bado siku 23.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Cc,alitoa siri nzito ambayo mpuuzi kama wewe huwezi kuifahamu.
Naona umepanic unatukana . Kwanza calm down. Haalf tueleze hiyo siri nzito ambayo ina m discredit CAG na kazi zake.
Woth ushahidi tafadhali
 
Kwa akili yako kipo hai?

Bwahaaa bwahaaaa, chagu wa malunde uneninechekesha ile mbaya. Vipi chama chako ulichohamia cha NCCR kwa kuahidiwa kuwa chama kikuu cha upinzani?
 
Bwahaaa bwahaaaa, chagu wa malunde uneninechekesha ile mbaya. Vipi chama chako ulichohamia cha NCCR kwa kuahidiwa kuwa chama kikuu cha upinzani?
Ahaaaa,nacheka sina mbavu, nimekuwa Chagu wa malunde?
 
Naona umepanic unatukana . Kwanza calm down. Haalf tueleze hiyo siri nzito ambayo ina m discredit CAG na kazi zake.
Woth ushahidi tafadhali
Circumstantial evidence,Mbowe amekwapua zaidi ya bil 8.
 
Huku ni kujitekenya mwenyewe na kucheka ingalikuwa rahisi hivyo chama tawala kidggaika hivyo hadi kufungia Lisu.
 
Back
Top Bottom