Uchaguzi 2020 CCM haikupaswa kutumia nguvu nyingi kupambana na CHADEMA

Punguza shobo kwa wanasiasa
Fanya kazi mkuu
Wale wapo kazini
Familia yako itafaidika na Nini magu akipata urais?
Mwisho wa siku watakupiga p***bu nyuma.
Kama wewe na mama yako mnvyopigwa.

Mimi nafaidik na maendeleo yanayoletwa.
 
Kwa iyo kumbe taasisi nzima ya CAG inadanganywa na makaratasi tu alafu wewe zumbukuku wa Lumumba ndo una ushahidi wote??
Aliyekuwa mjumbe wa Cc,alitoa siri nzito ambayo mpuuzi kama wewe huwezi kuifahamu.
 
Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania tumchagua kwa kishindo 98%
Hao wa kusombwa na matrekta na malori ya vifusi au wananchi wepi wengine?
Au hao anaowalazimisha kwenda kwenye fiesta? Tafuta video ya Jana akiwa Zanzibar uione Kama hujamkataa!
 
Kwa akili yako unafikiri wanaotumia pesa nyingi kupambana na chadema ni wajinga? Wamefanya tathmini ya kutosha na kuona mziki wa chadema si wa kitoto
 
Kwa akili yako unafikiri wanaotumia pesa nyingi kupambana na chadema ni wajinga? Wamefanya tathmini ya kutosha na kuona mziki wa chadema si wa kitoto
Sio kweli, hata mikutano ya wabunge na madiwani haifanyiki,bado siku 23.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Cc,alitoa siri nzito ambayo mpuuzi kama wewe huwezi kuifahamu.
Naona umepanic unatukana . Kwanza calm down. Haalf tueleze hiyo siri nzito ambayo ina m discredit CAG na kazi zake.
Woth ushahidi tafadhali
 
Kwa akili yako kipo hai?

Bwahaaa bwahaaaa, chagu wa malunde uneninechekesha ile mbaya. Vipi chama chako ulichohamia cha NCCR kwa kuahidiwa kuwa chama kikuu cha upinzani?
 
Bwahaaa bwahaaaa, chagu wa malunde uneninechekesha ile mbaya. Vipi chama chako ulichohamia cha NCCR kwa kuahidiwa kuwa chama kikuu cha upinzani?
Ahaaaa,nacheka sina mbavu, nimekuwa Chagu wa malunde?
 
Naona umepanic unatukana . Kwanza calm down. Haalf tueleze hiyo siri nzito ambayo ina m discredit CAG na kazi zake.
Woth ushahidi tafadhali
Circumstantial evidence,Mbowe amekwapua zaidi ya bil 8.
 
Huku ni kujitekenya mwenyewe na kucheka ingalikuwa rahisi hivyo chama tawala kidggaika hivyo hadi kufungia Lisu.
 
Cha kushangaza Diamond Ali Kiba na Shilole wanajaza kuliko Magufuli!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…