Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SureNi chawa kama chawa wengine!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SureNi chawa kama chawa wengine!
Tatizo msajili wa vyama vya siasa ni kada wa CCMBaada ya kifo cha Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM na Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na baadaye kutenguliwa na kuteuliwa kuwa Mbunge, CCM haina uongozi wa juu na hivi sasa inategemea Dola kuendeshwa katika shughuli zake za kila siku.
Jambo hili si la afya kwa mustakabali wa siasa za nchi na rasilimali za umma.
Kwa vyovyote vile rasilimali nyingi za umma zinatumiwa na CCM kinyume na sheria za nchi na hivyo kukosa sifa za kuwa chama cha siasa.
Wito kwa msajili wa vyama vya siasa kuwakumbusha CCM kujaza haraka iwezekanavyo nafasi za uongozi zilizo wazi ili kuepusha muingiliano wa kimaslahi baina ya Serikali na CCM.
Baada ya kifo cha Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM na Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na baadaye kutenguliwa na kuteuliwa kuwa Mbunge, CCM haina uongozi wa juu na hivi sasa inategemea Dola kuendeshwa katika shughuli zake za kila siku.
Jambo hili si la afya kwa mustakabali wa siasa za nchi na rasilimali za umma.
Kwa vyovyote vile rasilimali nyingi za umma zinatumiwa na CCM kinyume na sheria za nchi na hivyo kukosa sifa za kuwa chama cha siasa.
Wito kwa msajili wa vyama vya siasa kuwakumbusha CCM kujaza haraka iwezekanavyo nafasi za uongozi zilizo wazi ili kuepusha muingiliano wa kimaslahi baina ya Serikali na CCM.
Wao mwenyekiti na makamu wote walikuwa nje ya nchiUongozi CCM taifa upo, Makamu Mwenyekiti na Kaimu Katibu mkuu wapo! Sema kingine!
Kwani yaliyoamuliwa ni nani aliyeamuru kama siyo wawoWote hao hawana mamlaka ya maamuzi!
Hivi kwa nini mlimlambisha huyo Mangula sumu? Malipo ni hapa hapa duniani,bado yule kibiongo wenu mkaanga sumu.Mzee Mangula yupo na Mpogolo kama makamu wote.
You are absolutely stupid..hivi unathani nani mwenye uwezo wa kuitisha vikao vya chama ngazi ya kitaifa kwa sasa?na nani anaeweza kuandaa agenda za vikao kwa sasa!nani atakua mwenyekiti na katibu wa hivyo vikao?narudia tens kasomeWewe kakwambia wana akili kama siyo chawa tu!
Idiot! Hicho kichwa chako kina ubongo au kamasi? Unashindwa kujua CCM kumejaa majuha wasiojielewa zaidi ya kujikomba kusaka vyeo!You are absolutely stupid..hivi unathani nani mwenye uwezo wa kuitisha vikao vya chama ngazi ya kitaifa kwa sasa?na nani anaeweza kuandaa agenda za vikao kwa sasa!nani atakua mwenyekiti na katibu wa hivyo vikao?narudia tens kasome
Kwanini Mbowe alimuua CHACHA WANGE kupitia yule Malya?Hivi kwa nini mlimlambisha huyo Mangula sumu? Malipo ni hapa hapa duniani,bado yule kibiongo wenu mkaanga sumu.
Kamati kuu inaweza fukuza hata Mwenyekiti na katibu.