CCM haina Mwenyekiti wala Katibu Mkuu, hivi sasa inaendeshwa na Dola

CCM haina Mwenyekiti wala Katibu Mkuu, hivi sasa inaendeshwa na Dola

Baada ya kifo cha Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM na Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na baadaye kutenguliwa na kuteuliwa kuwa Mbunge, CCM haina uongozi wa juu na hivi sasa inategemea Dola kuendeshwa katika shughuli zake za kila siku.

Jambo hili si la afya kwa mustakabali wa siasa za nchi na rasilimali za umma.

Kwa vyovyote vile rasilimali nyingi za umma zinatumiwa na CCM kinyume na sheria za nchi na hivyo kukosa sifa za kuwa chama cha siasa.

Wito kwa msajili wa vyama vya siasa kuwakumbusha CCM kujaza haraka iwezekanavyo nafasi za uongozi zilizo wazi ili kuepusha muingiliano wa kimaslahi baina ya Serikali na CCM.
Tatizo msajili wa vyama vya siasa ni kada wa CCM
 
Baada ya kifo cha Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM na Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na baadaye kutenguliwa na kuteuliwa kuwa Mbunge, CCM haina uongozi wa juu na hivi sasa inategemea Dola kuendeshwa katika shughuli zake za kila siku.

Jambo hili si la afya kwa mustakabali wa siasa za nchi na rasilimali za umma.

Kwa vyovyote vile rasilimali nyingi za umma zinatumiwa na CCM kinyume na sheria za nchi na hivyo kukosa sifa za kuwa chama cha siasa.

Wito kwa msajili wa vyama vya siasa kuwakumbusha CCM kujaza haraka iwezekanavyo nafasi za uongozi zilizo wazi ili kuepusha muingiliano wa kimaslahi baina ya Serikali na CCM.

watajijua wenyewe sisi tuna mwenyekiti wa milele aikael mbowe matatizo kama haya hayawezi kutukuta
 
Kwa wanasiasa makini na wenye nia njema ya uongoz wa kwelii na wa utumishi kwa Watanzania hakutatokea fursa nyingine mzuri ya kuimaliza CCM kama kipindi cha sasa mpaka 2025.

Watakao thubutu na kiitumia legacy ya JPM ni positive ways watapata waungaji mkono idadi ya kutosha wa kuingusha na kuing'oa madarakani CCM 2025. Mbereko inayo ibeba CCM miaka nenda rudi itahamishiwa kwao sina shaka na hilo.
 
Acha ukilaza, CCM in makamu wa mkiti 2, naibu katibu wakuu 2, na wakurugenzi wa idara mbalimbali, then unasemaje haina uongozi kwa sasa? Watu kama nyinyi ni wa kupiga ban la milele
 
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Kaskazini Godbless Lema yuko ukimbizini Kanada nani anaendesha hiyo kanda ?
 
Wewe kakwambia wana akili kama siyo chawa tu!
You are absolutely stupid..hivi unathani nani mwenye uwezo wa kuitisha vikao vya chama ngazi ya kitaifa kwa sasa?na nani anaeweza kuandaa agenda za vikao kwa sasa!nani atakua mwenyekiti na katibu wa hivyo vikao?narudia tens kasome
 
You are absolutely stupid..hivi unathani nani mwenye uwezo wa kuitisha vikao vya chama ngazi ya kitaifa kwa sasa?na nani anaeweza kuandaa agenda za vikao kwa sasa!nani atakua mwenyekiti na katibu wa hivyo vikao?narudia tens kasome
Idiot! Hicho kichwa chako kina ubongo au kamasi? Unashindwa kujua CCM kumejaa majuha wasiojielewa zaidi ya kujikomba kusaka vyeo!
 
Kama hilo jina la avatar yako ndio unakotoka,unaibisha hilo eneo na watu wake.
 
Back
Top Bottom