Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Nimekuwa nikipokea SMS za CCM kupitia line ya Halotel Kama inavyoonekana hapo chini.
Pia soma: Kumbe Halotel ni CCM?
Pia soma: Kumbe Halotel ni CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanakula bando hao kenge siyo mchezo aiseeHalotel ni washenzi tu, network yao hovyo
Samia ameyumba sana. Aachane na matapeli wanaomdanganya kuwa watanganyika ni wajinga na hawajui lolote. Hata ukiwauza utumwani wataendelea na ushabiki kama wa simba na yanga.
Ataamka siku atajikuta
Na wanakula bando hao kenge siyo mchezo aiseeUvivu wa Maprofesa wetu wa sheria umesababisha haya.Samia ameyumba sana. Aachane na matapeli wanaomdanganya kuwa watanganyika ni wajinga na hawajui lolote. Hata ukiwauza utumwani wataendelea na ushabiki kama wa simba na yanga.
Ataamka siku atajikuta uhamishoni.
Kwani katiba ilioruhusu Zanzibar kuwa na serikali yake kamili, huku Tanganyika ikiwa haina serikali nyingine yake yenyewe, kwanini katiba hio sasa ikaruhusu Mzanzibari kurithi Urais wa serikali hii badala ya siku zote kuishia umakamu wa Rais kwa ajili tu ya kulinda maslaha ya Zanzibar ndani ya Muungano?
Ikitokea kama kifo cha Rais wa Tanzania basi kipengele kingesema aliekuwa Waziri Mkuu au Jaji Mkuu, Speaker wa Bunge ashike Urais hadi Uchaguzi mkuu ujao. Mzenji akibaki nafasi yake kivulini ya umakamu ili alinde maslaha ya nchi yao Zenji.
Uvivu huu sasa ndio unaumiza forever, haya mambo yatapelekea vita na nchi za kiarabu. Na tutavwamiwa kinguvvu. Nipo paleee nanywa kahawa mie
Na waliotaka kujitenga na Tanganyika na waliokuwa na chuki dhidi ya Tanganyika yupo huyo huyo, kama alivyokuwa bosi wake na Mentor wake mkuu Amana Karume.Samia ameyumba sana. Aachane na matapeli wanaomdanganya kuwa watanganyika ni wajinga na hawajui lolote. Hata ukiwauza utumwani wataendelea na ushabiki kama wa simba na yanga.
Ataamka siku atajikuta uhamishoni.
Halotel yenyewe iliingianchini kimagumashi, na inatajwa mkuu wa kaya wa wakati ule alipewa hisa za bure.Nimekuwa nikipokea SMS za CCM kupitia line ya Halotel Kama inavyoonekana hapo chini.
Pia soma: Kumbe Halotel ni CCM?
View attachment 2696732
Dola milioni 350 za rushwa zilizotolewa na DP zinafanya kazi. Zitawagusa watu binafsi, taasisi mbalimbali hadi makampuni.Kumbe tumefika huku tayari?
Mithili ya kampeni za uchaguzi ?
Kuna kila sababu ya kuamini hii issue kuna la ziada nyuma yake.
Mkuu hii ni kesi yenye pesa nyingi. Mtafute mwanasheria mahiri ufunguwe kesi ya faragha kuingiliwa, pia CCM kwa kukutumia kujitangaza kinyume cha sheria ya mawasilianoNimekuwa nikipokea SMS za CCM kupitia line ya Halotel Kama inavyoonekana hapo chini.
Pia soma: Kumbe Halotel ni CCM?
View attachment 2696732
JK + Januari = HALOTELNimekuwa nikipokea SMS za CCM kupitia line ya Halotel Kama inavyoonekana hapo chini.
Pia soma: Kumbe Halotel ni CCM?
View attachment 2696732
Na ifike hapo ili tujue maana halisi ya unafiki wa baadhi ya watu tunaowaheshimu.Dola milioni 350 za rushwa zilizotolewa na DP zinafanya kazi. Zitawagusa watu binafsi, taasisi mbalimbali hadi makampuni.
Mahakama yenyewe ipo wapi?Mkuu hii ni kesi yenye pesa nyingi. Mtafute mwanasheria mahiri ufunguwe kesi ya faragha kuingiliwa, pia CCM kwa kukutumia kujitangaza kinyume cha sheria ya mawasiliano
Duh hatariNimekuwa nikipokea SMS za CCM kupitia line ya Halotel Kama inavyoonekana hapo chini.
Pia soma: Kumbe Halotel ni CCM?
View attachment 2696732
Inakera SanaDuh hatari