Uchaguzi 2020 CCM hatuupendi ukweli, tusione ajabu mgombea wetu akashindwa vibaya uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 CCM hatuupendi ukweli, tusione ajabu mgombea wetu akashindwa vibaya uchaguzi huu

Hahaha ccm imepiga campaign miaka mitano bila kubugudhiwa waliona wako sawa,leo nawaona wananyong'onyea kwa maneno ya Lisu ya wiki moja tu.

Imekuwaje?! Madaraja yame yeyuka?! Na vipi ndege zimeyeyuka pia?!

CCM wameambizana wakae kimya, Polepole na Bashiru wanapumzika ili kupata nguvu za campaign au ndio wamekosa hoja?!
 
Nimewaambia ukweli humu tena mimi mwanachama mwenzio ....wamenishambulia hatariii....
 
Tatizo ni kuamini katika utawala wa milele. Hata kama yanafanyika mazuri sana, kutawala milele haiwezekani. Akili kubwa ingetengeneza mamluki na kumpa uraisi kwa chama kingine angalau kwa miaka hata 5 halafu unarudi unatawala 20 yrs then unacheza tena huo mchezo n.k.
Mfano mzuri ni Malawi wamerudisha chama kilekile walichokiondoa madarakani miaka 25 iliyopita, tatizo ni kuwa wanatudharau sana wananchi, ndio maana mtu anasimama na kusema mkoa huu nitaufanya kuwa dubai, baada ya miaka 5 anarudi anakuta mkoa huko vilevile halafu anaongeza mengine.
 
Serikali ya CCM imesheheni WAHUNI na WAHALIFU lukuki, kuanzia JPM hadi wasaidizi wake. Ma Dikteta ni WASHENZI na WENDAWAZIMU hasa wanaposhindwa kwa hoja, tutarajie viroja vingi sana mwaka huu.
 
MAHANJU,

Umemsikia mgombea yeyote wa ccm akikimbia hoja? Kwanza CCM bado wako kwenye mchujo wewe umeyatoa wapi hayo, umbeyaumbeya tuuuuu
Acha nikuzomee tu we mong'oo.ukweli umeuma kabisa kabisa.....Hiloooooooo👄👄
 
Mfano mzuri ni Malawi wamerudisha chama kilekile walichokiondoa madarakani miaka 25 iliyopita, tatizo ni kuwa wanatudharau sana wananchi, ndio maana mtu anasimama na kusema mkoa huu nitaufanya kuwa dubai, baada ya miaka 5 anarudi anakuta mkoa huko vilevile halafu anaongeza mengine.
Vizazi vinabadilika.
 
Hivi kati ya Cdm? Na ccm nani ahangaike na sera zake uchaguzi huu??. Embu usiteletee unazi hapa na kujifanya wewe CCM!.Hivi wewe akili yako unaona Kuna uwezekano wa wapinzani kushinda uchaguzi huu? Walishindwa 2015 kwa CCM ile! ,walipoungana! Watawaiweza hii CCM ya Magufuli?.Kwanza huyo tundu kaongea nini mpaka sasa zaidi ya ku mu attack jpm!. Mnandanganyika na umati unaoenda kwa lissu kumdhamini ndo unafikili kwamba atashinda?.. Hivi Jpm naye angeamua kutembea na Gari kutafuta wadhamini mikoani unafikili ingekuaje?.. Au kwa vile unaona CCM wametulia tu?. Subiri kampeni zianze ndo utajua hujui!..
Huyo magufol atatembea peke yake kama lisu au na policcm na majeshi?
 
Back
Top Bottom