CCM hawana Ubavu wa kumfukuza Polepole kwa sababu ya Madudu ya Ndugai Bungeni

CCM hawana Ubavu wa kumfukuza Polepole kwa sababu ya Madudu ya Ndugai Bungeni

Ranger9

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2021
Posts
1,613
Reaction score
3,002
Akina Polepole na akina Gwajima wanajiamini sana..

Wanajua CCM hawana Ubavu wa kuwavua Uanachama kwa sababu hatua hiyo itamexpose Ndugai na kumtaka awavue Ubunge..

Itakuwa ni fedheha kubwa sana kwa Faru J kuwafukuza Ubunge akina Gwajiboy kwani atahojiwa wale Covid-19 wanafanya nini Bungeni hata baada ya kufukuzwa Chadema?

Ataulizwa akina Cecil Mwambe walirudije Bungeni baada ya kufukuzwa Chadema?

Mihimili hii miwili, Bunge chini ya Ndugai na Mahakama chini ya Ibrahim Juma kwa hakika IMENAJISIKA sana, kama ilivyo pia kwa Jeshi la Polisi

Kurudi kwa heshima ya taasisi hizo ni hadi wakuu wake hawa wenye uwezo mdogo waondolewe, hivyo tu

Polepole, Gwajima na wabunge wengine wowote wale hakika wako salama sana na mimi nawasihi wakaze kamba ili kama ni kutoka CCM watoke na mtu, Kama si Faru J basi Bi.Tozo mwenyewe
 
Akina Polepole na akina Gwajima wanajiamini sana..

Wanajua CCM hawana Ubavu wa kuwavua Uanachama kwa sababu hatua hiyo itamexpose Ndugai na kumtaka awavue Ubunge...
Mtu mwovu siku zote hana confidence ya kuamua jambo.

Magufuli alimshindwa Makonda kwa namna hiyo hiyo. Makonda anajua mengi ya gizani kuhusu Magufuli
 
Chezeya CCM wewe. Wanaweza wakamkolimba.

Muulize Mwakyembe au katibu msaidizi atakuambia mbinu inayotumika.

Si kile kimjamaa bado kipo....
 
chakubanga hawatamfukuza coz wanahofia atavujisha siri za kifo cha mwendazake, kwa sasa watamlia timing ya kumkolimba, chakubanga kama atatoboa 2023 basi atakua kidume.
 
chakubanga hawatamfukuza coz wanahofia atavujisha siri za kifo cha mwendazake, kwa sasa watamlia timing ya kumkolimba, chakubanga kama atatoboa 2023 basi atakua kidume.
Asile wala kunywa hovyo hovyo maana wanaweza kumuwekea walivyomuwekea Boss Ruge, figo zikaanza kuleta mgogoro.
 
Akina Polepole na akina Gwajima wanajiamini sana..

Wanajua CCM hawana Ubavu wa kuwavua Uanachama kwa sababu hatua hiyo itamexpose Ndugai na kumtaka awavue Ubunge..

Itakuwa ni fedheha kubwa sana kwa Faru J kuwafukuza Ubunge akina Gwajiboy kwani atahojiwa wale Covid-19 wanafanya nini Bungeni hata baada ya kufukuzwa Chadema?

Ataulizwa akina Cecil Mwambe walirudije Bungeni baada ya kufukuzwa Chadema?

Mihimili hii miwili, Bunge chini ya Ndugai na Mahakama chini ya Ibrahim Juma kwa hakika IMENAJISIKA sana, kama ilivyo pia kwa Jeshi la Polisi

Kurudi kwa heshima ya taasisi hizo ni hadi wakuu wake hawa wenye uwezo mdogo waondolewe, hivyo tu

Polepole, Gwajima na wabunge wengine wowote wale hakika wako salama sana na mimi nawasihi wakaze kamba ili kama ni kutoka CCM watoke na mtu, Kama si Faru J basi Bi.Tozo mwenyewe
Chakubanga na wenzake ni wepesi sana. Watang'olewa na hakuna hata atakayetikiswa ndani ya CCM.
 
Akina Polepole na akina Gwajima wanajiamini sana..

Wanajua CCM hawana Ubavu wa kuwavua Uanachama kwa sababu hatua hiyo itamexpose Ndugai na kumtaka awavue Ubunge..

Itakuwa ni fedheha kubwa sana kwa Faru J kuwafukuza Ubunge akina Gwajiboy kwani atahojiwa wale Covid-19 wanafanya nini Bungeni hata baada ya kufukuzwa Chadema?

Ataulizwa akina Cecil Mwambe walirudije Bungeni baada ya kufukuzwa Chadema?

Mihimili hii miwili, Bunge chini ya Ndugai na Mahakama chini ya Ibrahim Juma kwa hakika IMENAJISIKA sana, kama ilivyo pia kwa Jeshi la Polisi

Kurudi kwa heshima ya taasisi hizo ni hadi wakuu wake hawa wenye uwezo mdogo waondolewe, hivyo tu

Polepole, Gwajima na wabunge wengine wowote wale hakika wako salama sana na mimi nawasihi wakaze kamba ili kama ni kutoka CCM watoke na mtu, Kama si Faru J basi Bi.Tozo mwenyewe
Itakuwa ni fedheha kubwa sana kwa Faru J kuwafukuza Ubunge akina Gwajiboy kwani atahojiwa wale Covid-19 wanafanya nini Bungeni hata baada ya kufukuzwa Chadema?

Ataulizwa akina Cecil Mwambe walirudije Bungeni baada ya kufukuzwa Chadema?[emoji23]
 
Ndungai yupo kimya haswa...

Anajifanya mambo yao kawaachia wenyewe...
 
Akina Polepole na akina Gwajima wanajiamini sana..

Wanajua CCM hawana Ubavu wa kuwavua Uanachama kwa sababu hatua hiyo itamexpose Ndugai na kumtaka awavue Ubunge..

Itakuwa ni fedheha kubwa sana kwa Faru J kuwafukuza Ubunge akina Gwajiboy kwani atahojiwa wale Covid-19 wanafanya nini Bungeni hata baada ya kufukuzwa Chadema?

Ataulizwa akina Cecil Mwambe walirudije Bungeni baada ya kufukuzwa Chadema?

Mihimili hii miwili, Bunge chini ya Ndugai na Mahakama chini ya Ibrahim Juma kwa hakika IMENAJISIKA sana, kama ilivyo pia kwa Jeshi la Polisi

Kurudi kwa heshima ya taasisi hizo ni hadi wakuu wake hawa wenye uwezo mdogo waondolewe, hivyo tu

Polepole, Gwajima na wabunge wengine wowote wale hakika wako salama sana na mimi nawasihi wakaze kamba ili kama ni kutoka CCM watoke na mtu, Kama si Faru J basi Bi.Tozo mwenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣
Unamutoaje bi Tozo huku ameshatangaza nia?
 
Kumbe kuna siri za kifo taifa limefichwa?!
Hamna Siri yoyote Ile inafichwa. Kwa akili ya JIWE aliyeamua kupima korona kwenye papai,oil. Chafu,mbuzi unaweza Kuta alikaa na mtaalamu wake wa afya akaamua aonje Ile sumu aliyopewa mangula kuhakiki kwanini haikumuua
 
Akina Polepole na akina Gwajima wanajiamini sana..

Wanajua CCM hawana Ubavu wa kuwavua Uanachama kwa sababu hatua hiyo itamexpose Ndugai na kumtaka awavue Ubunge..

Itakuwa ni fedheha kubwa sana kwa Faru J kuwafukuza Ubunge akina Gwajiboy kwani atahojiwa wale Covid-19 wanafanya nini Bungeni hata baada ya kufukuzwa Chadema?

Ataulizwa akina Cecil Mwambe walirudije Bungeni baada ya kufukuzwa Chadema?

Mihimili hii miwili, Bunge chini ya Ndugai na Mahakama chini ya Ibrahim Juma kwa hakika IMENAJISIKA sana, kama ilivyo pia kwa Jeshi la Polisi

Kurudi kwa heshima ya taasisi hizo ni hadi wakuu wake hawa wenye uwezo mdogo waondolewe, hivyo tu

Polepole, Gwajima na wabunge wengine wowote wale hakika wako salama sana na mimi nawasihi wakaze kamba ili kama ni kutoka CCM watoke na mtu, Kama si Faru J basi Bi.Tozo mwenyewe
We subiri

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ndugai na wana CCM wengine walishindwa kuona impact ya kuwacha bungeni Akina Harima Mdee na wenzake kwamba ikitokea mwana CCM akatakiwa kuvuliwa chama Na apoteze ubunge hawez kuvuliwa Kwa sababu kuna wale COVID 19??
 
Back
Top Bottom