Akina Polepole na akina Gwajima wanajiamini sana..
Wanajua CCM hawana Ubavu wa kuwavua Uanachama kwa sababu hatua hiyo itamexpose Ndugai na kumtaka awavue Ubunge..
Itakuwa ni fedheha kubwa sana kwa Faru J kuwafukuza Ubunge akina Gwajiboy kwani atahojiwa wale Covid-19 wanafanya nini Bungeni hata baada ya kufukuzwa Chadema?
Ataulizwa akina Cecil Mwambe walirudije Bungeni baada ya kufukuzwa Chadema?
Mihimili hii miwili, Bunge chini ya Ndugai na Mahakama chini ya Ibrahim Juma kwa hakika IMENAJISIKA sana, kama ilivyo pia kwa Jeshi la Polisi
Kurudi kwa heshima ya taasisi hizo ni hadi wakuu wake hawa wenye uwezo mdogo waondolewe, hivyo tu
Polepole, Gwajima na wabunge wengine wowote wale hakika wako salama sana na mimi nawasihi wakaze kamba ili kama ni kutoka CCM watoke na mtu, Kama si Faru J basi Bi.Tozo mwenyewe
Wanajua CCM hawana Ubavu wa kuwavua Uanachama kwa sababu hatua hiyo itamexpose Ndugai na kumtaka awavue Ubunge..
Itakuwa ni fedheha kubwa sana kwa Faru J kuwafukuza Ubunge akina Gwajiboy kwani atahojiwa wale Covid-19 wanafanya nini Bungeni hata baada ya kufukuzwa Chadema?
Ataulizwa akina Cecil Mwambe walirudije Bungeni baada ya kufukuzwa Chadema?
Mihimili hii miwili, Bunge chini ya Ndugai na Mahakama chini ya Ibrahim Juma kwa hakika IMENAJISIKA sana, kama ilivyo pia kwa Jeshi la Polisi
Kurudi kwa heshima ya taasisi hizo ni hadi wakuu wake hawa wenye uwezo mdogo waondolewe, hivyo tu
Polepole, Gwajima na wabunge wengine wowote wale hakika wako salama sana na mimi nawasihi wakaze kamba ili kama ni kutoka CCM watoke na mtu, Kama si Faru J basi Bi.Tozo mwenyewe