CCM hawana Ubavu wa kumfukuza Polepole kwa sababu ya Madudu ya Ndugai Bungeni

Ndugai na wana CCM wengine walishindwa kuona impact ya kuwacha bungeni Akina Harima Mdee na wenzake kwamba ikitokea mwana CCM akatakiwa kuvuliwa chama Na apoteze ubunge hawez kuvuliwa Kwa sababu kuna wale COVID 19??
COVID 19 imeng'ania kama ruba😄.Je kinyonga atashindwa kung'ania zaidi?
 
Haya majamaa hayafai .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…