CCM hii ya 2025 ni ya Mzee Makamba na Mzee Kikwete

CCM hii ya 2025 ni ya Mzee Makamba na Mzee Kikwete

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hakuna ubishi kuwa uchaguzi huu wa CCM umetengeneza CCM ambayo inafanana zaidi na Mzee Jakaya na Mzee Yusufu kwa tabia, muonekano na DNA.

Nionavyo Mimi CCM hii imetundikwa kwenye mabega ya wazee Kinana na Makamba na vijana wao akina akina Nape na January chini ya uongozi wa Mzee Jakaya (baba lao), CCM ileeeee,.

Tutegemee kuona na kusikia mengi zaidi kutoka kwa wazee hawa kuanzia Sasa hadi 2025.

Mtifuano utakuwa mkali sana baina ya Kanda ya pwani na Zanzibar kwa upande mmoja na Kanda za Ziwa, Magharibi, Kati na Kusini milimani kwa upande mwingine, lakini hasahasa ni baina ya Pwani na Ziwa/Kati na Kanda ya Pwani.

Na Hivi ndivyo nionavyo mimi
 
Hakuna ubishi kuwa uchaguzi huu wa CCM umetengeneza CCM ambayo inafanana zaidi na Mzee Jakaya na Mzee Yusufu kwa tabia, muonekano na DNA...
Hii ni CCM ya "Mambuzi" sikusema mimi.

Lakini pia sasa naanza kuelewa maana ya Mapinduzi ya kijeshi!
 
Hii ni CCM ya "Mambuzi" sikusema mimi.....

Lakini pia sasa naanza kuelewa maana ya Mapinduzi ya kijeshi!
Sasa hivi mbuzi wetu kichwa na mikono imeelekea Zanzibar na Pwani na miguu na mkia vimeelekea Bara na Kanda ya Ziwa na Kati. Asali inarabwa zaidi upande ulee, gari lao limewaka kwelikweli.
 
Back
Top Bottom