osward mambo
Senior Member
- Jul 31, 2020
- 148
- 55
Mgombea.bora NI yule ambae atakuwa na ujasri wa kukosoa YaleUna vigezo vya mgombea bora?
atakayoyaona hayana masilahi.kwa
waliomchagua..sio.wale wa ndioooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgombea.bora NI yule ambae atakuwa na ujasri wa kukosoa YaleUna vigezo vya mgombea bora?
Wengine wana matusi sana mpaka wanaogopwaWapo watu walitarajia kuwa Wagombea wa mwaka huu watakuwa wa aina yake lakini cha kushangaza wamechomoza wale wale akina Msukuma, Lusinde, N.k.
CCM huwa hawaangalii mgombea bora bali wanachotaka ni mtu ambaye anaweza kushinda na kubakiza kiti Chao Cha Ubunge, haijalishi ni kilaza au la.
Swali zuri sana kwa wenye kuelewa siasa za ukanda huo kuanzia Mbeya hadi ufike mpakani Tunduma. Tusubiri muda swali lako litapata majibu.Huku Tunduma tunahoji kwanini wamesumbua wajumbe?
Kwa kuwarudisha kwa nguvu watu kama Gekul, Katambi na Silinde, CCM tayari wana mpango mkakati kuhakikisha hao watu watatangazwa. CHADEMA wakibweteka tu na kudhani ballot box pekee ndio itaamua mshindi, watapigwa vibaya sana.Na kwa taarifa yenu hao watu hapo October watakataliwa na CCM wenyewe. Upinzani wataenda kumalizia nyundo tu!