CCM ijitoe kwenye Maridhiano kama matusi yataendelea kwa Rais Samia

CCM ijitoe kwenye Maridhiano kama matusi yataendelea kwa Rais Samia

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,905
Reaction score
4,054
Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri

toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.

Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"

"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora

Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
 
Mbona hamkusema JPM alitukana aliposema "Ni kichaa tu anaweza kukubali ule mkataba wa Babamoyo" sasa ule ulikuwa wa Bagamoyo ambao ulikuwa na nafuu, je huu wetu wa milele je angekuwa neno gani ndugu msomaji?
 
Kama leo tu tayari tumeshahukumiwa kulipa Shs zaidi ya Bln 800 kwa mikataba mibovu kama huu wa Dp world. Tena tumepewansiku 30 tu , deni liwe limeshalipwa. Ndiyo watu wasionyeshe hisia zao ?!.

Tatizo la Tanzania na especially Tanganyika. Cheo hiki cha u Rais watu wameifanyia u mungumutu. Hampendi akosolewe, wala kuhojiwa.

Utagawaje bandari zote kwa kampuni moja kwa muda usiojulikana? Waulize Djibouti leo kinachowakuta dhidi ya hao Dp world.
 
Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri

toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.

Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"

"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora

Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
Lugha ya uungwana kumsahihisha mwenzako aliyekosea, ni jambo jema. Lakini inategemea huyo abayeambiwa kama na yeye ana staha, na anathamani na kuzingatia ushauri anaopewa.

Watu wanaonesha upungufu na ubaya wa mkataba, wewe unasema kuwa umefunga masikio. Unaowatuma wanasema kuwa hawataki kusikia lolote, na wanaamua kupeleka mswada bungeni wa kubadilusha sheria ili kuendana na matakwa ya huo mkataba wa hovyo, unatarajia watu waendelee kukupa kauli za kirafiki wakati wanaona kabisa umedhamiria kukamilisha uovu?

Lugha na ukemeaji wa maneno makali umesababishwa na dharau ya Rais, Serikali na CCM, kwa wananchi.
 
Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri

toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.

Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"

"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora

Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
Nani aliyataka ?
 
Nyie endeleeni kutishia tuu eti kujitoa maridhiano, kwa taarifa yako CCM ndio inayohitaji zaidi maridhiano kwa sasa kuliko chama kingine chochote. Mnadhani bado vyombo vya dola mnaweza kuvitumia kwa ushenzi ule wa miaka ile? Shauri yenu! Mtatoka msalani bila kutawaza!
 
Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"
Hivi ukimsemesha mtu, hakusikilizi anakuambia ameweka pamba masikioni, Bado utakuwa na shauku kuendelea kumsemesha kwa staha?
 
Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri

toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.

Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"

"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora

Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
Koma hajasema watanzania wote vichaa,wanaopigia debe mkataba bila kujua kilichoandikwa kule,km na wewe ni mmojawapo basi ni kichaa
 
Nape Nnauye --" jamaa mshamba Sana"

Abdul Rahman Kinana --" Nape jamaa sio mshamba tu , jamaa amechanganyikiwa"


Wao walipokuwa wanamtukana Rais Magufuli walifikiri hayatawarudia 😂😂😂😂😂
 
Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri

toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.

Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"

"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora

Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki

Viongozi walioko madarakani kwa chaguzi za kihayawani wana heshima gani? Tunapotaka chaguzi ziheshimiwe ni pamoja na kustahili heshima baada ya kuwa kiongozi. Hayo maridhiano ni ya Mbowe na CCM, hakuna mtu aliyetaka maridhiano bali tunataka sheria zifuatwe.
 
Back
Top Bottom