Hiyo kamtishie nayo fala. Kwahiyo ile kesi mliifrem hivyo kwenye hizi mahakama za mchongo ili kuziba watu midomo? Sio bure hata wawekezaji hawataki kutumia hizi mahakama zetu za kipuuzi kwenye migogoro, maana wanajua ni upuuzi mtupu.kumbuka Kuna KESI ya ugaidi ilikua haijaisha
Nikisema niuzie kofia yako ni tusi! Mkibanwa hamkawii kuomba ruhusa kwenda msalani.Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri
toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.
Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"
"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora
Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
Sindano imegonga mfupa hapo, SAWA SAWA kabisa, Lissu ongezaaa shikilia hapo hapo majizi hayaNiwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri
toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.
Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"
"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora
Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
Tena kichaa ana afadhali aiseee, huyu atayekubali huu mkataba ni TEJANi kichaa pekee anayeweza kukubali mkataba wa kijinga namna hiyo kati ya dp world na dar port.yaani mwekezaji akupangie kwamba akitaka kuja nwekezaji lazima umtaarifu yeye kama nan? Si ndiyo ukichaa wenyewe huo?
Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri
toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.
Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"
"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora
Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
nashangaa, hii nchi ukisema kweli unaonekana adui. Hii tabia ya ajabu Sana .Tumeanza kufunzana na kupangiana ya kuongea sasa[emoji848][emoji2827]
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira Kamanda mwenzanguHiyo kamtishie nayo fala. Kwahiyo ile kesi mliifrem hivyo kwenye hizi mahakama za mchongo ili kuziba watu midomo? Sio bure hata wawekezaji hawataki kutumia hizi mahakama zetu za kipuuzi kwenye migogoro, maana wanajua ni upuuzi mtupu.
Sijajua wanabembeleza hao Machadema Kwa lipi?Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri
toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.
Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"
"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora
Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.
Tulia we gamba wa CCM.Punguza hasira Kamanda mwenzangu
Acha upuuzi, nchi ipo pabaya. WTulia we gamba wa CCM.
Kwahiyo utafanya nini ww gamba?Acha upuuzi, nchi ipo pabaya. W
Unataka kupigana ngumi?Kwahiyo utafanya nini ww gamba?
Gamba baba yakoKwahiyo utafanya nini ww gamba?
Mbona mnasema matusi ila hamtaki yataja matusi husika, acheni upumbavuNiwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri
toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili watasema umekaa vizuri, lakini ukisema mkataba huu hata kichaa hawezi kuubali, maana nyingine unatuambia sisi sote ni vichaaa.
Wapinzani jengeni hoja acheni kejeli kwa Rais, lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa kuepukwa ili kutoa fursa ya kuendeleza maridhiano na kuijenga Tanzania kwa pamoja"
"Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara ndugu Abdulrahman Kinana akiwa Tabora
Sisi wananchi tunawaomba Mjitoe kama wenzenu hawataki
Acha kupanick kindezi we gamba.Gamba baba yako